Hizi gari hapana, nitabadilishana na Bodaboda

Hizi gari hapana, nitabadilishana na Bodaboda

Gari ni kama nguo, wewe unapenda suti mwenzio cadets, wewe unafia kwenye jeans mwenzio suruali za vitambaa!

Hali kadhalika huwezi kumtaka fundi gereji avae suti na kazi yake unaijua, ndiyo hivyo hivyo huwezi kumlazimisha afisaa wa benki kuvaa overrall kazini kwake kisa wewe unashindia hilo!...
Umeeleza vyema sana na huu ndiyo uhalisia wa maisha yetu tulio wengi...

Lakini watu wengi wakiingia JF wanajidai wao mambo safi...kumbe hamna kitu
 
Habarini Wakuu,

Tangu mwaka wa 2018 June nilikuwa nikihitaji at least kupata usafiri binafsi. Katika mchakato wa kuwashirikisha wajuzi zaidi wa magari na madalali baadhi wamekuwa wakisuggest aina za magari ambayo zilikuwa zinanichekesha sana Wallah...
Mtoto wa kiume unaanza kuwaza kupewa zawad ya gari!?

Hebu fikiria mara mbili mbili na hayo marinda yako mkuu..
 
Huu ni umasikini mkuu, umewaza kimasikini sana. Sijui kama umeelewa? Kuna mtu akikuona umevaa suruali ya kitambaa na umechomekea shati la mchele mchele anajiuliza hivi huyu vipi.

Maisha ni uchaguzi, unaishi unavyoona inafaa na hakuna wa kuingilia faragha yako. Kama wewe unaona hayafai, design zake sio rafiki kwako, trust me kuna watu hawalali usingizi wanatamani siku moja wamiliki passo, funcargo, Porte, IST, starlet, vitz etc.
 
'A man brags his penis however tiny. '

nashawishika kuamini wengi wa walioponda hizo gari hata baskeli wanategemea ya, mjumbe wa mtaa. acheni dharau na mali za watu[emoji57][emoji57]
 
Huu uzi ukiuchunguza kwa kina utagundua wachangiaji wengi ni wapanda daladala, bodaboda na wale wachache wanaomiliki magari ya urithi.

Wale wenzangu na mimi waliojipinda na kununua hizo passo, suzuki, funcargo, nk. wametulia kimya huku wakishangaa nini hasa lengo la huu uzi! ni kejeli tu, kujimwambafai, sizitaki mbichi hizi, au!!!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]dunia ina mambo
 
....hivi kukaa kituoni kusubiri mwendokasi au daladala, kugombania na kuingilia madirishani VS kuwa na passo, toyota BB, Toyota Will, Porte,Swift, Nissan March au Nissan cube ukae ndani uwashe kiyoyozi na mziki wa taratibu.....ni kipi afadhali..?
Mbona watz hamueleweki..

Pelekeni usenge huko MBWA nyie.View attachment 1505616
😂😂😂
 
Habarini Wakuu,

Tangu mwaka wa 2018 June nilikuwa nikihitaji at least kupata usafiri binafsi. Katika mchakato wa kuwashirikisha wajuzi zaidi wa magari na madalali baadhi wamekuwa wakisuggest aina za magari ambayo zilikuwa zinanichekesha sana Wallah

Kuna aina za magari binafsi naona zina muundo mbaya (body structure) hasa kwa Wanaume.

Ikitokea nikapewa zawadi ya magari hayo nitabadilishana na mtu mwenye pikipiki BOXER muda huohuo kabla ya Masaa 6.

Gari hizo ni Porte, Nadia na aina flan ya Suzuki:

Boxer = 2.6M
Porte = 9.6M
Nadia ~ 11.5M

Kwahiyo mwana unataka kutuaminisha ukipewa porte ya 9.6M wewe unaenda kubadilishana na bodaboda akupe Boxer ya 2.6M [emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hapo hutakuwa hautumii akili yako vzr [emoji23][emoji23][emoji23]

Inaonekana wewe hujawah miliki gari maana ndo tabia za wasio na vibaby walker kuponda babywalker za watu


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Boxer = 2.6M
Porte = 9.6M
Nadia ~ 11.5M

Kwahiyo mwana unataka kutuaminisha ukipewa porte ya 9.6M wewe unaenda kubadilishana na bodaboda akupe Boxer ya 2.6M [emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hapo hutakuwa hautumii akili yako vzr [emoji23][emoji23][emoji23]

Inaonekana wewe hujawah miliki gari maana ndo tabia za wasio na vibaby walker kuponda babywalker za watu


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe wewe kwako gharama ndio muhimu kuliko Ubora??

Yaani kisa bei ghali basi unaamini ndio bora, hii analysis ya ajabu sana

Teh teh teh.....

Ni bora ningeendesha Toyota RunX kuliko hizo porte
 
Kumbe wewe kwako gharama ndio muhimu kuliko Ubora??

Yaani kisa bei ghali basi unaamini ndio bora, hii analysis ya ajabu sana

Teh teh teh.....

Ni bora ningeendesha Toyota RunX kuliko hizo porte
Kwa hiyo boxer ina ubora kuliko porte ? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Au unamaanisha nn [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe wewe kwako gharama ndio muhimu kuliko Ubora??

Yaani kisa bei ghali basi unaamini ndio bora, hii analysis ya ajabu sana

Teh teh teh.....

Ni bora ningeendesha Toyota RunX kuliko hizo porte
Wewe ndo una analysis ya ajabu huwez kufanya comparison kati ya boxer na porte [emoji23][emoji23]
 
Wewe ndo una analysis ya ajabu huwez kufanya comparison kati ya boxer na porte [emoji23][emoji23]
Kwanini nisiweze? Wewe ni mgumu kuelewa, sikucompare bei, wala hakuna mahali nimetaja price ya gari na kusema Porte ni cheap car,

nimesema ina muundo wa hovyo, na nilishindwa kabisa kununua gari ya aina hiyo siince, na hata sasa siwezi nunua ni bora kabisa ninunue boxer nijue nina bike n not such kind of a car
 
Kwanini nisiweze? Wewe ni mgumu kuelewa, sikucompare bei, wala hakuna mahali nimetaja price ya gari na kusema Porte ni cheap car,

nimesema ina muundo wa hovyo, na nilishindwa kabisa kununua gari ya aina hiyo siince, na hata sasa siwezi nunua ni bora kabisa ninunue boxer nijue nina bike n not such kind of a car
Usibadilishe ulichokisema kuwa na msimamo

Uliandika hivi
"Ikitokea nikapewa zawadi ya magari hayo nitabadilishana na mtu mwenye pikipiki BOXER muda huohuo kabla ya Masaa 6"

Hukusema kwamba bora ununue boxer bali ulisema hicho nilicho nukuu hapo juu.

Yaani ubadilishane boxer na porte [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole mkuu sema wewe ndo mgumu kuelewa halaf hauna msimamo na ulichokisema [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

JF raha sana [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom