Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Umeeleza vyema sana na huu ndiyo uhalisia wa maisha yetu tulio wengi...Gari ni kama nguo, wewe unapenda suti mwenzio cadets, wewe unafia kwenye jeans mwenzio suruali za vitambaa!
Hali kadhalika huwezi kumtaka fundi gereji avae suti na kazi yake unaijua, ndiyo hivyo hivyo huwezi kumlazimisha afisaa wa benki kuvaa overrall kazini kwake kisa wewe unashindia hilo!...
Mtoto wa kiume unaanza kuwaza kupewa zawad ya gari!?Habarini Wakuu,
Tangu mwaka wa 2018 June nilikuwa nikihitaji at least kupata usafiri binafsi. Katika mchakato wa kuwashirikisha wajuzi zaidi wa magari na madalali baadhi wamekuwa wakisuggest aina za magari ambayo zilikuwa zinanichekesha sana Wallah...
Tunatumia tz 11 hapa mjini mkuu.'A man brags his penis however tiny. '
nashawishika kuamini wengi wa walioponda hizo gari hata baskeli wanategemea ya, mjumbe wa mtaa. acheni dharau na mali za watu[emoji57][emoji57]
Hilo gari sijawahi waza hata kuomba lift hata wakati wa mvua.... Bora niloe tu....Huyo ni ndugu yake Porte
View attachment 1504290
Huu uzi ukiuchunguza kwa kina utagundua wachangiaji wengi ni wapanda daladala, bodaboda na wale wachache wanaomiliki magari ya urithi.
Wale wenzangu na mimi waliojipinda na kununua hizo passo, suzuki, funcargo, nk. wametulia kimya huku wakishangaa nini hasa lengo la huu uzi! ni kejeli tu, kujimwambafai, sizitaki mbichi hizi, au!!!
Angalia hapo jamaa wa crown akiwa kwny 180km/h alivyopitwa na ka GTI kama kasimama boss.Wenye hivi vidubwasha Wana vurugu sana barabarani
😂😂😂....hivi kukaa kituoni kusubiri mwendokasi au daladala, kugombania na kuingilia madirishani VS kuwa na passo, toyota BB, Toyota Will, Porte,Swift, Nissan March au Nissan cube ukae ndani uwashe kiyoyozi na mziki wa taratibu.....ni kipi afadhali..?
Mbona watz hamueleweki..
Pelekeni usenge huko MBWA nyie.View attachment 1505616
[emoji1751][emoji1751][emoji134][emoji134][emoji119][emoji119][emoji119]nisamehe nimetukana..[emoji23][emoji23][emoji23]
...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tatizo la huku watu wengi wanajivika status ambazo si zao...Hahahaha punguza hasira mkuu! Kuna mtu kanishangaza sana hapo juu kuiponda Toyota IQ..
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Boxer = 2.6MHabarini Wakuu,
Tangu mwaka wa 2018 June nilikuwa nikihitaji at least kupata usafiri binafsi. Katika mchakato wa kuwashirikisha wajuzi zaidi wa magari na madalali baadhi wamekuwa wakisuggest aina za magari ambayo zilikuwa zinanichekesha sana Wallah
Kuna aina za magari binafsi naona zina muundo mbaya (body structure) hasa kwa Wanaume.
Ikitokea nikapewa zawadi ya magari hayo nitabadilishana na mtu mwenye pikipiki BOXER muda huohuo kabla ya Masaa 6.
Gari hizo ni Porte, Nadia na aina flan ya Suzuki:
Anakaa kwa mme wa dada yakeUko sahihi...kejeli nyingi wakati hata hela ya hizo passo hawana, ndo mana mtoa mada anawaza zawadi, eti nikipewa zawadi[emoji38][emoji38].. Hapo ndo nikaona utoto bado unamsumbua!
Kumbe wewe kwako gharama ndio muhimu kuliko Ubora??Boxer = 2.6M
Porte = 9.6M
Nadia ~ 11.5M
Kwahiyo mwana unataka kutuaminisha ukipewa porte ya 9.6M wewe unaenda kubadilishana na bodaboda akupe Boxer ya 2.6M [emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo hutakuwa hautumii akili yako vzr [emoji23][emoji23][emoji23]
Inaonekana wewe hujawah miliki gari maana ndo tabia za wasio na vibaby walker kuponda babywalker za watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa hiyo boxer ina ubora kuliko porte ? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Au unamaanisha nn [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe wewe kwako gharama ndio muhimu kuliko Ubora??
Yaani kisa bei ghali basi unaamini ndio bora, hii analysis ya ajabu sana
Teh teh teh.....
Ni bora ningeendesha Toyota RunX kuliko hizo porte
Wewe ndo una analysis ya ajabu huwez kufanya comparison kati ya boxer na porte [emoji23][emoji23]Kumbe wewe kwako gharama ndio muhimu kuliko Ubora??
Yaani kisa bei ghali basi unaamini ndio bora, hii analysis ya ajabu sana
Teh teh teh.....
Ni bora ningeendesha Toyota RunX kuliko hizo porte
Kwanini nisiweze? Wewe ni mgumu kuelewa, sikucompare bei, wala hakuna mahali nimetaja price ya gari na kusema Porte ni cheap car,Wewe ndo una analysis ya ajabu huwez kufanya comparison kati ya boxer na porte [emoji23][emoji23]
Porte mbona bonge la gari acheni ushambaHilo no.1 aliyelitengeneza naye basi tu alitaka aonekane kabuni kigari cha tofauti.
Usibadilishe ulichokisema kuwa na msimamoKwanini nisiweze? Wewe ni mgumu kuelewa, sikucompare bei, wala hakuna mahali nimetaja price ya gari na kusema Porte ni cheap car,
nimesema ina muundo wa hovyo, na nilishindwa kabisa kununua gari ya aina hiyo siince, na hata sasa siwezi nunua ni bora kabisa ninunue boxer nijue nina bike n not such kind of a car