raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
mnyama mkaliHizo Mimi nilizikataa kitambo, yaani huwa sizipandi kabisa, sijafikiria hata kumnunulia mtoto wangu. Nakomaa na hii hii ya urithi It's old but very Unique.View attachment 1504255
Ha ha hapna mkuu sijawahi miliki Toyota achilia mbali hizo Porte na wenzake, lakini hili halinipi sababu ya kuwabeza wenye nazo!Wewe kama sio Funcargo ni Porte wewe
Unatema chini nini?Mkojo,manii,mate au tonge la ugali na mchicha?Ukistaajabu ya Porte utakuwa hujakumbana na Passo short chasis. Juzi kati kamenipita ka passo milango miwili nilijikuta natema chini
Sio kama wanaendesha ila ukiwa unaondoka ofisini umeshika funguo zako wao ndio wa kwanza kukuuliza mtani unapita njia ipi leo unibebe utafikili wao ndio maroad surveyor!!
Huu uzi ukiuchunguza kwa kina utagundua wachangiaji wengi ni wapanda daladala, bodaboda na wale wachache wanaomiliki magari ya urithi.
Wale wenzangu na mimi waliojipinda na kununua hizo passo, suzuki, funcargo, nk. wametulia kimya huku wakishangaa nini hasa lengo la huu uzi! ni kejeli tu, kujimwambafai, sizitaki mbichi hizi, au!!!
Hilo dume lilituaibisha sana wanaume...[emoji23][emoji23]Dume zima juzi namkuta anaendesha kapasso[emoji3][emoji3]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nimecheka mbayaHilo dume lilituaibisha sana wanaume...[emoji23][emoji23]
Unatema chini nini?Mkojo,manii,mate au tonge la ugali na mchicha?
Unatema kupitia wapi?Kikojoleo au makalioni?
Mnadharau usafiri wa wenzenu kwanini?Ninalo hapa mpaka nimejisikia vibaya mno!!!
Be serious dude!!!
Gari ya lodilofa hiyo mkuuHilo no.1 aliyelitengeneza naye basi tu alitaka aonekane kabuni kigari cha tofauti.
MmhDream Car yangu Mimi ni Harrier haijaloshi Old au New model napigana usiku na mchana niipate, Nina miaka mitano serikalini toka niajiriwe lengo langu ni Ndani ya hii miaka mitano ya mwisho ya JPM niinyakue haijalishi kwa mkopo wa Bank au cash yangu binafsi
Shost yangu job anacho ki porte basi kakosa parking, analalamika atapark wapi nikamwambia si ukipakatee uende nacho ofisini, kaninunia hadi leo
[emoji2957][emoji2957][emoji16][emoji16][emoji28]Yanachekesha au hela yako ndo inachekesha?
Ha haMkuu ww una swift nini!?