Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
nyinyi endeleeni tuu kuprinti maana hamna namna sasaTunakomenti wapi sisi watembea kwa miguu..[emoji849][emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyinyi endeleeni tuu kuprinti maana hamna namna sasaTunakomenti wapi sisi watembea kwa miguu..[emoji849][emoji849]
Sawa mkuunyinyi endeleeni tuu kuprinti maana hamna namna sasa
Yeah! Kuna gari kubwa kubwa nilikuwa naendesha... Kwa miaka mitatu sikuwahi kusimamishwa na traffic hata mmoja!Hizo gari ist,Passo, porte na funcargo lazima trafiki awasimamishe hata mara 10 kwa siku
Sijui kwanini
Hahahaha!! we mkorofiShost yangu job anacho ki porte basi kakosa parking, analalamika atapark wapi nikamwambia si ukipakatee uende nacho ofisini, kaninunia hadi leo
Nilikuwa namtania mkuu, duuh kaninunia mazima[emoji26]Hahahaha!! we mkorofi
Mi mara moja kwa hata miaka mitatu, Tena kipindi Cha operation ya magari ya wizi SA ndo nilidakwa pale Airport, mwaka juzi hiyoYeah! Kuna gari kubwa kubwa nilikuwa naendesha... Kwa miaka mitatu sikuwahi kusimamishwa na traffic hata mmoja!
Habarini Wakuu,
Tangu mwaka wa 2018 June nilikuwa nikihitaji at least kupata usafiri binafsi. Katika mchakato wa kuwashirikisha wajuzi zaidi wa magari na madalali baadhi wamekuwa wakisuggest aina za magari ambayo zilikuwa zinanichekesha sana Wallah
Kuna aina za magari binafsi naona zina muundo mbaya (body structure) hasa kwa Wanaume.
Ikitokea nikapewa zawadi ya magari hayo nitabadilishana na mtu mwenye pikipiki BOXER muda huohuo kabla ya Masaa 6.
Gari hizo ni Porte, Nadia na aina flan ya Suzuki:
Endesheni gari zenu msiogope mkuu, ni mtazamo tu!Sasa mleta mada atupe mwongozo wa aina za magari ambayo tunapaswa kuendesha.
Ha haDaah tunaoendesha hivi vidubwasha vya shemeji mmetuweza leo mkuu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28]acha fix weweDaah mkuu taratibu naona shemeji anapiga honi hapa,acha nikamfungulie geti then nioshe hii gari yake huku nikiomba aniwekee ule wimbo wa SITABAKI KAMA NILIVYO wkt namuoshea ndinga yake aisee.
Hahah daah bado mkuu,labda baada ya uchaguzi....hahah.Ha ha
Mkuu hujahama kwa shemeji bado?
Hahah naomba msaada kwny tuta mkuu....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28]acha fix wewe
Vipi kuhusu SIENTAHabarini Wakuu,
Tangu mwaka wa 2018 June nilikuwa nikihitaji at least kupata usafiri binafsi. Katika mchakato wa kuwashirikisha wajuzi zaidi wa magari na madalali baadhi wamekuwa wakisuggest aina za magari ambayo zilikuwa zinanichekesha sana Wallah...
Mkuu nimepishana na Ractis nayo inahusika hapa?Wewe wasema