HIZI HAFLA ZA KUTIA SAINI GHARAMA HUA NANI ANALIPA?

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Hafla zimekua nyingi sana kuzidi ytendaji na utekelezaji , hizi hafla ni nani hua analipa gharama za eneo husika , mapambo , na per dm za washiriki ?
 
Hafla zimekua nyingi sana kuzidi ytendaji na utekelezaji , hizi hafla ni nani hua analipa gharama za eneo husika , mapambo , na per dm za washiriki ?
Kodi zetu mkuu ,kwakifupi sisi wananchi ndiyo tunalipa.
 
Watapata wapi posho , unakuta wote wanatoka Dodoma pamoja na mkandarasi wanakodisha ndege kila mtu na timu yake ...Wanasafiri mpaka Arusha wanaenda kuweka saini , baadaye wanarudi wote Dodoma .
 
Hafla zimekua nyingi sana kuzidi ytendaji na utekelezaji , hizi hafla ni nani hua analipa gharama za eneo husika , mapambo , na per dm za washiriki ?
kama hafla ni nyingi za kutia saini basi hiyo ni dalili nchi imechangamka sasa kila sehemu ni kazikazi..
hongereni watendaji na mama Samia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…