Hizi Handbag za kinadada hizi mmmh?

hahahahah lol
huyo anabahati sana lol
hhahaha lol angepata zilizotumika
angeacha kuiba vya watu lol

nwya my dear nite nite..:mwaaah::mwaaah::A S 11::A S 11:

😛opcorn:😛opcorn: You too stay safe and behave lol!!!!!
 
 
Tunabeba ili hivyo tulivyoish jipaka vikiyeyuka,kuchafuka au kufutika tukila na tukinywa kuvirudishe sehemu yake tuzidi kuwa warembo wakati wote...........lol:coffee:
Jibu zuri but mmh kuna ulazma?
 
Yaani naona kama umetaja theruthi tu ndugu yangu
 
Hii ni hatari kubwa
 
sometimes its Funny...................Udongo na Maembe mabichi!!!
 

ya nini jamani, moja alovaa si inatosha mpaka jioni?
 
ya nini jamani, moja alovaa si inatosha mpaka jioni?
Loh!wenzio kila akienda msalani sharti maji sa mpaka jioni itakua chepechepe.ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaa kho!kho!kho!
 
Sitaki kuingilia privacy ya mama zangu ila kwa list uloiweka hapo juu nadhani acha tu wawe navyo si unajuwa walivy maua? wanapendeza na kutupa moyo. Nilipo hiyo mikoba inaitwa self contained, wangine wanaiita "nilale wapi"
 
Ongezea:
Notebook,pens, highlighter,diary au daily planner, a book, scarf, handkerchief.

Kila mwanamke ana mahitaji maalum. Siyo kila mwanamke atahitaji kila kitu kilichoorodheshwa hapa.Kuna wanawake wafanyabiashara, wafanya kazi maofisini - hawa nao wamegawanyika - Executive siyo lazima abebe bag kubwa anaweza kuwa na handbag ndogo (yenye wallet itakayohifadhi pesa, ATM etc.Pia ataweka hand lotion, chana ndogo kama hajasuka, miniature perfume,lipstick or shine,face poweder kama anatumia, wanja, driving licence etc) na akabeba brief case pia au mfuko wa kuweka vifaa vya kazi.
Mwanamke muuza baa, mgahawa au nesi anaweza kubeba bag kubwa akaweka khanga, au uniform, viatu flaties etc.

Kina kaka msiwe mnashangaa sana kuona mabag hayo.

NB: Bags kubwa kwa sasa ni fashion lakini kuna wanaozidisha au kushindwa kuelewa walibebe wapi na wakati gani.
Ukubwa au udogo wa bag unaendana na kimo cha mtu pia huwezi ukawa mfupi ukabeba bag kama umebeba fuko la nguo za kufua!
 
sometimes its Funny...................Udongo na Maembe mabichi!!!

Habari yake Babaubaya??
Its not funny bwana kichefuchefu hutufanya tubebe maembe mabichi na udongo ni hamu na pia yaweza kuwa upungufu wa madini.....nina hamu na udongo,usiwe unakumbushia aisee..sitalala leo.....lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…