Hizi hapa dalili chache kwamba DP world na mengine si madili mazuri

Hizi hapa dalili chache kwamba DP world na mengine si madili mazuri

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Hizi hapa Dalili za kwamba DP world na mengine ni madili haramu

1. Hakuna ufafanuzi wowote unaojibu hoja kwanini Magufuli aliikataa DP world baada ya kifo chake sasa inapokelewa

2. Enzi za Magufuli aliwahi kusema, wazee wastaafu waache viherehere vya kuishauri ikulu je waliacha?

3. DP world kama inayo faida tunahara ya nini kuipitisha haraka haraka?

4. Kwanini nguvu kubwa imetumika kuwapanga waandishi wa habari ili hali kama jambo ni la kheri?

5. Nani atalipa ule mkopo uliokopwa kuendeleza bandari wakati huo bandari itachukuliwa na kuendelezwa na DP world?

6. Kuna ubaya gani mkataba ukitaja muda angalau wa miaka kumi kumi ili Rais mwingine anapoingia madarakani aweze kuboresha au kuondoa?

7. Kitu gani kimewatia upofu wabunge hadi waamini wanaokosoa waonekane wanapotosha?

8. Bajeti ya kuwahamisha wa masai loliondo alitoa nani na mkataba wa muwekezaji kule unasemaje?
9. Ile ndege kubwa ya mizigo KIA mwaka jana ni kweli ilileta mabegi ya wataliii?

10. Kama gas ipo, kwanini serikali haitoi vibari kuwepo Gas station za kutosha hadi mikoani (nani anafaidika na soko la mafuta haya yanayopanda bei kwa kisingizio cha vita na kuzuia kujengwa vituo vingi vya gas?)

11. Inadaiwa hata michango ya wabunge kupitisha DP world walichangia kwa kupangwa! Akiwemo Halima mdee ambaye alipangwa kusema vile kimchongo ili spika apenyeze ufafanuzi!
 
Hizi hapa Dalili za kwamba DP world na mengine ni madili haramu

1. Hakuna ufafanuzi wowote unaojibu hoja kwanini magufuli aliikataa DP world baada ya kifo chake sasa inapokelewa

2. Enzi za magufuli aliwahi kusema, wazee wastaafu waache viherehere vya kuishauri ikulu je waliacha?

3. DP world kama inayofaida tunahara ya nini kuipitisha haraka haraka?
4. Kwanini nguvu kubwa imetumika kuwapanga waandishi wa habari ili hali kama jambo ni la kheri?

5. Nani atalipa ule mkopo uliokopwa kuendeleza bandari wakati huo bandari itachukuliwa na kuendelezwa na DP world?

6. Kuna ubaya gani mkataba ukitaja muda angalau wa miaka kumi kumi ili Rais mwingine anapoingia madarakani aweze kuboresha au kuondoa?

7. Kitu gani kimewatia upofu wabunge hadi waamini wanaokosoa waonekane wanapotosha?

8. Bajeti ya kuwahamisha wa masai loliondo alitoa nani na mkataba wa muwekezaji kule unasemaje?
9. Ile ndege kubwa ya mizigo KIA mwaka jana ni kweli ilileta mabegi ya wataliii?

10. Kama gas ipo, kwanini serikali haitoi vibari kuwepo Gas station za kutosha hadi mikoani (nani anafaidika na soko la mafuta haya yanayopanda bei kwa kisingizio cha vita na kuzuia kujengwa vituo vingi vya gas?)

11. Inadaiwa hata michango ya wabunge kupitisha DP world walichangia kwa kupangwa! Akiwemo Halima mdee ambaye alipangwa kusema vile kimchongo ili spika apenyeze ufafanuzi!
Nape ulaaniwe na baba yako aliye kaburini , akulaani ufe kibudu
 
Ila jaman siasa ziacheni tuu hii bandari haijaanza leo kuendeshwa na kampuni baki baadhi ya operation sasa shida iko wapi. Ni vyema wakaelimishwa raia majukumu gani hao Dp world wanaenda kufanya huko Bandari maana kila mtu anasema lake.
 
Hizi hapa Dalili za kwamba DP world na mengine ni madili haramu

1. Hakuna ufafanuzi wowote unaojibu hoja kwanini magufuli aliikataa DP world baada ya kifo chake sasa inapokelewa

2. Enzi za magufuli aliwahi kusema, wazee wastaafu waache viherehere vya kuishauri ikulu je waliacha?

3. DP world kama inayofaida tunahara ya nini kuipitisha haraka haraka?
4. Kwanini nguvu kubwa imetumika kuwapanga waandishi wa habari ili hali kama jambo ni la kheri?

5. Nani atalipa ule mkopo uliokopwa kuendeleza bandari wakati huo bandari itachukuliwa na kuendelezwa na DP world?

6. Kuna ubaya gani mkataba ukitaja muda angalau wa miaka kumi kumi ili Rais mwingine anapoingia madarakani aweze kuboresha au kuondoa?

7. Kitu gani kimewatia upofu wabunge hadi waamini wanaokosoa waonekane wanapotosha?

8. Bajeti ya kuwahamisha wa masai loliondo alitoa nani na mkataba wa muwekezaji kule unasemaje?
9. Ile ndege kubwa ya mizigo KIA mwaka jana ni kweli ilileta mabegi ya wataliii?

10. Kama gas ipo, kwanini serikali haitoi vibari kuwepo Gas station za kutosha hadi mikoani (nani anafaidika na soko la mafuta haya yanayopanda bei kwa kisingizio cha vita na kuzuia kujengwa vituo vingi vya gas?)

11. Inadaiwa hata michango ya wabunge kupitisha DP world walichangia kwa kupangwa! Akiwemo Halima mdee ambaye alipangwa kusema vile kimchongo ili spika apenyeze ufafanuzi!
Serikali ina mengi, lakini kuna haja ya katiba mpya, inabidi kubadilishwe mfumo wa utawala kwani Rais ananguvu sana kwenye mihimili mingine.
Nahisi hapo ndipo kwenye tatzo.

Ila kwani wakiuza hyo bandari tukagawana wote hata buku tano tano si fresh tu!? 🤔
 
Hizi hapa Dalili za kwamba DP world na mengine ni madili haramu

1. Hakuna ufafanuzi wowote unaojibu hoja kwanini magufuli aliikataa DP world baada ya kifo chake sasa inapokelewa

2. Enzi za magufuli aliwahi kusema, wazee wastaafu waache viherehere vya kuishauri ikulu je waliacha?

3. DP world kama inayofaida tunahara ya nini kuipitisha haraka haraka?
4. Kwanini nguvu kubwa imetumika kuwapanga waandishi wa habari ili hali kama jambo ni la kheri?

5. Nani atalipa ule mkopo uliokopwa kuendeleza bandari wakati huo bandari itachukuliwa na kuendelezwa na DP world?

6. Kuna ubaya gani mkataba ukitaja muda angalau wa miaka kumi kumi ili Rais mwingine anapoingia madarakani aweze kuboresha au kuondoa?

7. Kitu gani kimewatia upofu wabunge hadi waamini wanaokosoa waonekane wanapotosha?

8. Bajeti ya kuwahamisha wa masai loliondo alitoa nani na mkataba wa muwekezaji kule unasemaje?
9. Ile ndege kubwa ya mizigo KIA mwaka jana ni kweli ilileta mabegi ya wataliii?

10. Kama gas ipo, kwanini serikali haitoi vibari kuwepo Gas station za kutosha hadi mikoani (nani anafaidika na soko la mafuta haya yanayopanda bei kwa kisingizio cha vita na kuzuia kujengwa vituo vingi vya gas?)

11. Inadaiwa hata michango ya wabunge kupitisha DP world walichangia kwa kupangwa! Akiwemo Halima mdee ambaye alipangwa kusema vile kimchongo ili spika apenyeze ufafanuzi!
Una hoja nzito sana kuweza kushughulikiwa na kizazi hiki cha blue band.
Mjadara umekuw twisted, badala ya kujadiri terms and conditions tukapelekwa kona ya kama ubinafsishaji ni muhim au la!(jambo ambalo hatutofautian!)
Mambo yameshakuwa mengi. Uharibifu umeshazidi upeo.
Tulipofikia tunahitaji MAPINDUZI!
The hard way!
The renaissance!
Kila mtu atumie alichopewa kulisaidia Taifa lake
 
Watanzania watu wa ajabu,kulalama humu after few days hii nayo itakua ni cold 🥶 case,bila Street battles hizi royal families zitawaburuza sana, viajira vya TRA vimetoka huko
Bandari zote zimewekewa 'posa'. Hakuna kidume kusogelea mali ya 'tajiri DP'
 
Watanzania watu wa ajabu,kulalama humu after few days hii nayo itakua ni cold 🥶 case,bila Street battles hizi royal families zitawaburuza sana, viajira vya TRA vimetoka huko
Wewe kwani mmarekani mwenzetu mbona hatukuoni kuanza
 
Mnaandamana kwenye keyboard NENDENI barabarani.


HAMUONI WAKENYA?????????

Hongera DP world hongera samia.
Nimepata UFAFANUZI wa Mwana sheria kumbe ni MKATABA mzuri kabisa.

WANASIASA WA upinzani ni WAONGO SANA..
 
Mnaandamana kwenye keyboard NENDENI barabarani.


HAMUONI WAKENYA?????????

Hongera DP world hongera samia.
Nimepata UFAFANUZI wa Mwana sheria kumbe ni MKATABA mzuri kabisa.

WANASIASA WA upinzani ni WAONGO SANA..
Mkataba mzuri kwa nan? Maana kula mkataba huwa mzuri lakini inategemea unautizama ukiwa upande gani!
Naomba utuwekee hapa ufafanuzi wa vifungu ulivyopewa ukaona vinafaa
 
Kama kama GHILBA YEYOTE KWENYE HILI! BASI MWEÑEZI MUNGU TUNAKUSHTAKIA UINGILIE KATI! Kama kuna Hila utapeli na kweli Hapo na mambo Kama hayo Basi Mwenyezi Mungu Ingilia Kati KUPITIA ZABURI.109 ili!
[emoji116][emoji116]
Zaburi 109:8-16
8Siku za maisha yake ziwe chache,
mtu mwingine na achukue kazi yake!

9Watoto wake wawe yatima,
na mke wake awe mjane!

10Watoto wake watangetange na kuombaomba;
wafukuzwe katika magofu ya nyumba zao!

11Anayemdai kitu amnyanganye mali yake yote;

na wageni wanyakue mapato ya jasho lake!

12Pasiwe na mtu wa kumwonea huruma,
au Kuwatunza watoto wake yatima!

13Wazawa wake wote wafe;
jina lake lisahauliwe katika kizazi kijacho!

14Mwenyezi-Mungu aukumbuke uovu wa wazee wake,
dhambi za mama yake zisifutwe kamwe!

15Mwenyezi-Mungu azikumbuke dhambi zao daima;
lakini wao wenyewe wasahauliwe duniani.

16Mwovu huyo hakujali kabisa kuwa na huruma,
ila aliwadhulumu maskini na fukara,
kadhalika na watu wanyonge

WAUMINI wote Waseme AMINA[emoji1374]

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Wewe kwani mmarekani mwenzetu mbona hatukuoni kuanza
Ukiweza soma comments zangu zote humu, silalami humu maana mimi ni mtu wa push back, sijawahi kutokupigania haki yangu, ushujaa wa humu ni craze,real fighters wanafanya street battles
 
Hizi hapa Dalili za kwamba DP world na mengine ni madili haramu

1. Hakuna ufafanuzi wowote unaojibu hoja kwanini magufuli aliikataa DP world baada ya kifo chake sasa inapokelewa

2. Enzi za magufuli aliwahi kusema, wazee wastaafu waache viherehere vya kuishauri ikulu je waliacha?

3. DP world kama inayofaida tunahara ya nini kuipitisha haraka haraka?
4. Kwanini nguvu kubwa imetumika kuwapanga waandishi wa habari ili hali kama jambo ni la kheri?

5. Nani atalipa ule mkopo uliokopwa kuendeleza bandari wakati huo bandari itachukuliwa na kuendelezwa na DP world?

6. Kuna ubaya gani mkataba ukitaja muda angalau wa miaka kumi kumi ili Rais mwingine anapoingia madarakani aweze kuboresha au kuondoa?

7. Kitu gani kimewatia upofu wabunge hadi waamini wanaokosoa waonekane wanapotosha?

8. Bajeti ya kuwahamisha wa masai loliondo alitoa nani na mkataba wa muwekezaji kule unasemaje?
9. Ile ndege kubwa ya mizigo KIA mwaka jana ni kweli ilileta mabegi ya wataliii?

10. Kama gas ipo, kwanini serikali haitoi vibari kuwepo Gas station za kutosha hadi mikoani (nani anafaidika na soko la mafuta haya yanayopanda bei kwa kisingizio cha vita na kuzuia kujengwa vituo vingi vya gas?)

11. Inadaiwa hata michango ya wabunge kupitisha DP world walichangia kwa kupangwa! Akiwemo Halima mdee ambaye alipangwa kusema vile kimchongo ili spika apenyeze ufafanuzi!
Nchi hii siyo mali ya Magufuli na Mungu kumchukua ana makusudi yake aliona tutaumia na kutaka atawale bila kikomo
 
Ukiweza soma comments zangu zote humu, silalami humu maana mimi ni mtu wa push back, sijawahi kutokupigania haki yangu, ushujaa wa humu ni craze,real fighters wanafanya street battles
Duh
 
Nimemsikiliza mbowe, msukuma na baadhi ya wafanyabiashara!

Kuna haja ya kuoewa elimu zaidi maana ukiwasikiliza wote wana point muhimu

Nilichokielewa kwenye hili swala ni kua kinacho jadiliwa ni " MAKUBALIANO YA KUKUBALIANA " na sio mkataba wa na DP WORLD

Kua makubaliano niya nchi na nchi ili kutoa nafasi ya kuja kujadiliana mikataba inayo fuata au itakayo kuja na si kwa DP WORLD pekee, yaani kunaweza kukatokea kampuni ingine ya hapo dubai ikaona fursa tanzania, ila kwa kupitia makubaliano haya itaipa nafasi ya kuja kuwekeza kirahisi hapa

Labda kama sijaelewa vizuri ama kuna kitu sijaelewa kabisa nisahihishwe
 
Back
Top Bottom