Hizi hapa dalili chache kwamba DP world na mengine si madili mazuri

Hizi hapa dalili chache kwamba DP world na mengine si madili mazuri

Haya ni makubaliano tu na sio mkataba.Lengo la makubaliano ni kutaka kujiridhisha kabla hajaingia kwenye mikataba.Lakin hata mkataba ukiwa tayari bandari yetu itakuwa na uwezo mkubwa wa kupakuaa mizigo kuliko sasa.lakin meli nyingi zitakuja.Kwa mimi nilivyo waelewa wabunge jana
 
Kwema Ndugu zangu,...


Kama kweli mnataka kuujua ukweli wote kuhusu sakata la DP World, fanyeni yafuatayo:-

1. Itafuteni DP World humu ndani ya Nchi yetu au Bara letu ( jiridhisheni kabisa na utendaji Kazi wake )

2. Then Tokeni nje ya Nchi yetu au nje ya Bara letu ...( Huko ndiko mtaupata ukweli wote kuhusu DP World ). Na hapo ndipo mfanye maamuzi ya kuifanya iwekeze kwenye bandari yetu au la.


Note: Kilichofanywa na Viongozi wetu ni uhuni wa wazi kabisa kwani si rahisi hata kidogo kupata ukweli wa jambo lolote kwà kukimbilia kulifukunyua kwà nje KWANZA badala ya kuanzia kulifukunyua ndani.

Note: Nikionacho Mimi, naona kabisa...kama tukiruhusu hao jamaa wakawekeza, basi huenda tukaupoteza uhuru tuliokuwa nao kwenye bandari yetu.

I mean, hatutakua tena na BANDARI HURU, bali tutakua na BANDARI BUBU ( Hatutakua na mtu wa kutusemea kwa lolote , ....na zihurumia sana rasilimali zetu ...ee Mungu tusaidie [emoji24] )
 
Ushauri wangu kwà VIONGOZI:-

1. Mtafuteni Mungu
2. Utafuteni na Uso wake pia


Otherwise, mtajuta kuzaliwa. Ndani ya miezi kumi na 12 , kuanzia Julai 2023 mpaka Julai 2024....mtateketea mmoja baada ya mwingine. Itafika mahala ndani ya mwezi mmoja watazikwa viongozi wakubwa wa KITAIFA hata watatu au zaidi.


Note: thread hii isifutwe kwà ushahidi
 
Nimewasikiliza sana wale wote wanaoitetea DP World....tena nimewasikiliza kwà misikilizo yote... I mean,... I listened to them ,...carefully, attentively, silently and repeatedly....


Lakini....kila nikijaribu kuoanisha na maarifa , Uelewa , utambuzi na hekima , zinazotumika au vinavyotumika kwenye maneno yao...naona kabisa...hawajui walitendalo. Na tena naona hao jamaa sio Wazalendo kabisa kabisa #CorruptedMinds Bure kabisa!!!!
Huu ndio utafiti uliokutana nao kwa kuifuatilia DPW? hili ndio jibu?
 
Kwema Ndugu zangu,...


Kama kweli mnataka kuujua ukweli wote kuhusu sakata la DP World, fanyeni yafuatayo:-

1. Itafuteni DP World humu ndani ya Nchi yetu au Bara letu ( jiridhisheni kabisa na utendaji Kazi wake )

2. Then Tokeni nje ya Nchi yetu au nje ya Bara letu ...( Huko ndiko mtaupata ukweli wote kuhusu DP World ). Na hapo ndipo mfanye maamuzi ya kuifanya iwekeze kwenye bandari yetu au la.


Note: Kilichofanywa na Viongozi wetu ni uhuni wa wazi kabisa kwani si rahisi hata kidogo kupata ukweli wa jambo lolote kwà kukimbilia kulifukunyua kwà nje KWANZA badala ya kuanzia kulifukunyua ndani.

Note: Nikionacho Mimi, naona kabisa...kama tukiruhusu hao jamaa wakawekeza, basi huenda tukaupoteza uhuru tuliokuwa nao kwenye bandari yetu.

I mean, hatutakua tena na BANDARI HURU, bali tutakua na BANDARI BUBU ( Hatutakua na mtu wa kutusemea kwa lolote , ....na zihurumia sana rasilimali zetu ...ee Mungu tusaidie [emoji24] )
 
Huu ndio utafiti uliokutana nao kwa kuifuatilia DPW? hili ndio jibu?
Ulihongwa kiasi gani Ndugu yangu? Mbona povu linakutoka sana na unaongea kwà sauti kubwa kiasi hicho?

Nimekuongelesha kwà sauti ndogo tu Ndugu yangu, ...lakini wewe unaleta sauti kubwa...unaongea kwà kupayuka kujaza nzi. Anyway sio case....Asubuhi njema!
 
Heading ya Uzi unasema ukweli wote kuhusu DP World huu hapa, tusiojua huo ukweli mbio mbio kuja kusoma

Fungua Uzi sasa ukauone huo ukweli wote, kumbe ni wale wale wanaotaka kuonekana wanajua kila kitu na hawataki wapitwe
Wewe pia ni mmoja wao waliohongwa na DP World.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wabongo bhana! Kuelewa shida sana!!!
 
Endelea kutuelewesha.hatujakuelewa.makasiriko ya nn??link ipi ?!
Tatizo la wabongo hawapendi kuambiwa ukweli, ...unajua kwanini?

Kwasababu ni wavivu sana wa kuutafuta na kuuongea.

Note: Na ikitokea wameupata au kuujua ukweli, ni wepesi sana wa kuuficha na kutupoteza ili kusiwe na ushahidi.

Note: Bongo ukiwa mkweli lazima watakuua tu,.."nasema uongo Ndugu zangu?"
 
Ulihongwa kiasi gani Ndugu yangu? Mbona povu linakutoka sana na unaongea kwà sauti kubwa kiasi hicho?

Nimekuongelesha kwà sauti ndogo tu Ndugu yangu, ...lakini wewe unaleta sauti kubwa...unaongea kwà kupayuka kujaza nzi. Anyway sio case....Asubuhi njema!
Naona umeshindwa kujibu hoja umerukia kukata mauno nakutingisha kalio tu,ukianza kunijibu kwa lugha isiyo na staha,usifikiri nitakupokea kwa nyimbo za mapambio,

Heading yako inasema "Ukweli kuhusu DP World huu hapa" kwenye content hakuna cha maana ulichokieleza.
 
Naona umeshindwa kujibu hoja umerukia kukata mauno nakutingisha kalio tu,ukianza kunijibu kwa lugha isiyo na staha,usifikiri nitakupokea kwa nyimbo za mapambio,

Heading yako inasema Ukweli kuhusu "DP World huu hapa" kwenye content hakuna cha maana ulichokieleza.
Silaha kubwa ya Serikali ni AMANI. Nimetumia lugha ya Amani kuelezea nilichoandika ili walioko Serikalini endapo wataupitia uzi wangu waweze kujitafakari. Lakini umeniattack kwà kuwa violent.

Is like nimeinvoke the bad spirits ambazo zimo ndani Yako , ambazo hazipendi kuuona / kuusikia / kuusoma UKWELI.
 
Naona umeshindwa kujibu hoja umerukia kukata mauno nakutingisha kalio tu,ukianza kunijibu kwa lugha isiyo na staha,usifikiri nitakupokea kwa nyimbo za mapambio,

Heading yako inasema "Ukweli kuhusu DP World huu hapa" kwenye content hakuna cha maana ulichokieleza.
Note : Serikali ni watu. Silaha ya Serikali ni AMANI , na silaha ya Watu ni UKWELI.

Sasa , kama watu wakiwa wanaiambia Serikali Ukweli, na yenyewe ikawa na ugumu wa kutowasikiliza , maana yake ..imechoka kuwa na Amani.

Remember, Serikali isiyokua na Amani haiwezi kamwe kuwa na watu wakweli. Na sio kweli kwamba KILA mtu katika Nchi au Taifa anaweza kukubaliana na watu/ viongozi wachache wanaotaka KILA mtu awe MUONGO / CHAWA/ IFUENSA
 
Silaha kubwa ya Serikali ni AMANI. Nimetumia lugha ya Amani kuelezea nilichoandika ili walioko Serikalini endapo wataupitia uzi wangu waweze kujitafakari. Lakini umeniattack kwà kuwa violent.

Is like nimeinvoke the bad spirits ambazo zimo ndani Yako , ambazo hazipendi kuuona / kuusikia / kuusoma UKWELI.
Ina maana huoni ulivyo niattack wewe sio? kuniambia ''Ulihongwa kiasi gani?'' kisha ukaniambia ''Unaongea kwa kupayuka kujaza nzi''

Hiyo ndio lugha ya amani uliyoitumia kunijibu sio? hivi uko sawa kichwani kweli? au ulifikiri wewe ulivyo niattack mimi ningekuchekea tu sio?
 
Ina maana huoni ulivyo niattack wewe sio? kuniambia ''Ulihongwa kiasi gani?'' kisha ukaniambia ''Unaongea kwa kupayuka kujaza nzi''

Hiyo ndio lugha ya amani uliyoitumia kunijibu sio? hivi uko sawa kichwani kweli? au ulifikiri wewe ulivyo niattack mimi ningekuchekea tu sio?
Nina KICHWA CHA SIHMBHA , sio rahisi kunielewa kwà haraka.

Note: Ndio maana majibu yako...yamejawa na hofu, woga , mashaka na wasiwasi. #Acha uoga Ndugu!!!

View attachment 2665149
 
Back
Top Bottom