Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
1. Jeshi la Polisi - trafic na CID wanakula vitu vinono. Kila kona ya nchi kuna trafic na wapo radhi kusimama akusanye buku buku akifika jioni apeleke nyama home. Uchunguzi hasa case za kuibiwa vifaa vya electroni hakuna anayechunguza. Mtaani panejaa simu na computer za wizi. Watu wa cyber wapo tu na hivi vifaa ndivyo vinatumika kwenye uhalifu. Rushwa imeifanya nchi iwe damping ya vifaa vya wizi. Watu wanakufa kwa kushambuliwa na wezi au majambazi ila no serious investigation
2. Mahakama: kama Kawa wataalam wanajiita miungu wa Duniani. Karani wa mahakama ana nguvu ya kufuta kesi kabla hakimu au judge ataandika hukumu. Makarani ni viungo wachezaji kwenye game ya kitu kidogo
3. Ofisi ya DPP- hapa anayefikishwa mahakamani ni yule asiye na pesa. Kama una salio jalada lako litaishia mikononi mwa watendaji wa mwamba huyu.
4. Halmashauri - kupitia Tozo mingi watendaji wote wa halmashauri wamegeuka wakusanya mapato kwa opereshini bubu. Wamegoma wafanyabiashara kutumia mifumo ya electronic kupata leseni na kukamilisha huduma bila kwenda ofisini
5. TRA- kodi zimekuwa nyingi na wateja wanasumbuliwa kwa kubambikiwa kodi kuanzia bandarini na sokoni. Wanapitisha mizigo ya magendo mipakani
6. Uhamiaji na Pasipoti; wateja kwa sasa wanasubiri pasipoti mwezi mmoja. Vinginevyo ukate mpunga kwa vishoka waliopo nje ya ofisi zao. Hakuna anayejali uliomba pasipoti lini
7. Hospitali uchakachuaji wa huduma za bima na kuruhusu bima kutumika kinyume cha taratibu
8. Idara za maji- kuunganisha maji na ubambikiaji bills
9. Ardhi eneo la utoaji hati na umilikaji ardhi
10. NIDA kwenye uandikishaji na utoaji kadi
2. Mahakama: kama Kawa wataalam wanajiita miungu wa Duniani. Karani wa mahakama ana nguvu ya kufuta kesi kabla hakimu au judge ataandika hukumu. Makarani ni viungo wachezaji kwenye game ya kitu kidogo
3. Ofisi ya DPP- hapa anayefikishwa mahakamani ni yule asiye na pesa. Kama una salio jalada lako litaishia mikononi mwa watendaji wa mwamba huyu.
4. Halmashauri - kupitia Tozo mingi watendaji wote wa halmashauri wamegeuka wakusanya mapato kwa opereshini bubu. Wamegoma wafanyabiashara kutumia mifumo ya electronic kupata leseni na kukamilisha huduma bila kwenda ofisini
5. TRA- kodi zimekuwa nyingi na wateja wanasumbuliwa kwa kubambikiwa kodi kuanzia bandarini na sokoni. Wanapitisha mizigo ya magendo mipakani
6. Uhamiaji na Pasipoti; wateja kwa sasa wanasubiri pasipoti mwezi mmoja. Vinginevyo ukate mpunga kwa vishoka waliopo nje ya ofisi zao. Hakuna anayejali uliomba pasipoti lini
7. Hospitali uchakachuaji wa huduma za bima na kuruhusu bima kutumika kinyume cha taratibu
8. Idara za maji- kuunganisha maji na ubambikiaji bills
9. Ardhi eneo la utoaji hati na umilikaji ardhi
10. NIDA kwenye uandikishaji na utoaji kadi