McMahoon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,353
- 1,639
Hayo maendeleo ndiyo unayaona leo? Tangu 1961 mpaka leo kuna vijiji havina maji, umeme na wanafunzi wanakaa chini. Hayo maendeleo unayoyazungumzia yakoje? Watu waache kufanya starehe kwasababu ya maendeleo. Familia yangu ikila na kunywa inatosha.