Bado hata ikiwa 15m halafu utegemee faida 1m kwa mwaka ni hasara kubwa. Labda kama una pesa isiyo na kaziHisa za Crdb hushuka mpaka tsh 150 kwa hisa, 150 zidisha lak 1 ni milioni 15. Si milion 200.
Uwekezi 200m upate faida 1m kwa mwaka tena kabla ya kukatwa kodi, kama si wendawazimu huu basi bora uitwe wehu.
Na washawasha!
Bado hata ikiwa 15m halafu utegemee faida 1m kwa mwaka ni hasara kubwa. Labda kama una pesa isiyo na kazi
Sijui gharama ya hisa moja ya CRDB, ila niki-assume hisa moja ni sh. 250 ina maana mtu mwenye hisa laki 1 amewekeza mtaji wa sh 250 million! Sasa jiulize return ya milion moja kwa mtu mtu mwenye mtaji wa milion 250 ni biashara hiyo au kupoteza hela?Bora hata hao Crdb wanatoa sh10 maana kama una hisa laki 1 unakamata milioni kabla ya kodi, kampuni nyingine toka ziuze hisa kila mwaka hasara tu, tunabaki na matumaini ya siku moja watagawa hata sh 5.
250 × 100,000 = 250,000,000/ .. hii calculation ni ya sayari gan??Sijui gharama ya hisa moja ya CRDB, ila niki-assume hisa moja ni sh. 250 ina maana mtu mwenye hisa laki 1 amewekeza mtaji wa sh 250 million! Sasa jiulize return ya milion moja kwa mtu mtu mwenye mtaji wa milion 250 ni biashara hiyo au kupoteza hela?
Unakuta mtu ana mtaji wa mili 2 tu anaanzisha duka la rejareja na kupata laki 3 kila mwezi sawa na sh mil 3.6 kwa mwaka zaidi ya aliyewekeza 250 mil CRDB kwenye soko la hisa
Tumechukulia mtu mwenye hisa 100,000 na tuka-assume hisa moja ina value ya 250. Ili kupata mtaji uliwekezwa na mtu huyo ni kuchukua kiwango cha hisa mara thamani ya kila hisa in our case ni 250 x 100,000.250 × 100,000 = 250,000,000/ .. hii calculation ni ya sayari gan??
Ni 25M mkuu,250 × 100,000 = 250,000,000/ .. hii calculation ni ya sayari gan??
Hii haitasaidia sana kutokana na ukweli kuwa dividend inatokana na faida? Swali ni kuwa je hali ya uchumi iliyopo je hayo makampuni yanapata faida?DSE Kama inataka kurutubisha hilo soko lao walazimishe makampuni yalipe dividend kila muhula.
Hisa kwa kusubiria gawio inakuwa hupati faida kwa haraka , kama unataka kupata kwa faida kwa haraki kwa kununua na kuuza hisa kwa mfano hisa za acacia alhamis zilikuwa 8,180 , ijumaa zimefika 8,500 . Sasa kwa mtu mwenye fedha za kutosha anunua tu tuseme hisa elfu kumi alhamis , ijumaa anaziuza tayari ana kama milioni tatu ndani ya masaa, machache, sasa hapo ni wewe ni kufanya calculations vizuri upige hela ndefu zaidihisa za kampuni kuwa juu, maana yake ni kuwa kampuni inafanya vizur sokon, yaan mauzo yake ni mazur, ambapo inamaanisha kuna profit, sasa kwann useme kuwa mtu ulenge faida kwenye kuuza hisa kuliko gawio?. mm nnachofikria ni kuwa hao DSE wawe na access ya moja kwa moja yaan wacheze na vitabu vya mahesabu vya hayo makampuni na kuyaweka hadharan kwa wateja au wanahisa wao kuliko kusubiria management za hayo makampun ambayo mengi yanaleta taarfa zisizo sahihi kwa wateja wao, inaumiza sana kwa kwl
Kweli aise[emoji2]Duuh!! Kwa mfano hisa moja inauzwa sh 500, nikiwa na sh laki tano ntanunua hisa 1000, ikiwa kila hisa napata faida( divident) sh 10, then nitakuwa na faida ya sh 10 ×1000 sawa na Tsh 10,000 kwa mwaka.
Hii biashara anaweza kufanya kichaa