Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 817
- 2,180
Tukiongelea Iphone huwa anatangaza new features ambazo Samsung wanazo 5 years back lakini utashangaa watumia iPhone wanajimwambafai na hizo features.
Ukija Samsung wanatrendisha features za Google pixel ambazo watumiaji wa pixel wanazo 2 years back. Yaani S24 ultra inatangaza features za pixel 6 ambayo haziko on par kwa market trend.
Kuna tatizo mahali sio bure.
Ukija Samsung wanatrendisha features za Google pixel ambazo watumiaji wa pixel wanazo 2 years back. Yaani S24 ultra inatangaza features za pixel 6 ambayo haziko on par kwa market trend.
Kuna tatizo mahali sio bure.