Hizi kura za Dkt. Ndugulile zinaashiria Nini?

Uelekeo555

Senior Member
Joined
Jun 1, 2024
Posts
160
Reaction score
112
ni ishara muhimu na ya maana sana ya ushawishi, kukubalika na kuaminika kwa Tanzania duniani, hasa inchi ilivyo chini ya huyu kiongozi wetu na kipenzi cha waTanzania wote Rais, comrade Dr.Samia Suluhu Hassan 🐒

ni hivyo tu,
endorsements na influence ya huyu mama kitaifa na kimataifa ni 🔥🔥🔥sana aisee...
 
Hapana. Sio Tanzania iliyochaguliwa bali Dr. Ndugulile. Kuchaguliwa ilitegemea zaidi candidates walivyojipresent kwa delegates. Mengine campaigns & lobbying ni ziada. Unadhani ingekuwa kina mwijaku tungeambulia kitu?
 
Hapana. Sio Tanzania iliyochaguliwa bali Dr. Ndugulile. Kuchaguliwa ilitegemea zaidi candidates walivyojipresent kwa delegates. Mengine campaigns & lobbying ni ziada. Unadhani ingekuwa kina mwijaku tungeambulia kitu?
Dunia ikijaa watu wenye akili kama hizi mapambano dhidi ya njaa hayataisha. Nina uhakika unatumia kichwa kufugia nywele pekee yake.
 
Serikali ilitia nguvu ya Kutosha Kwa Kampeni.Lakini pia Dr.Faustin alikuwa na Sifa stahiki.Angalau kabla ya kuja Kugombea ubunge alishapiga Kazi WHO,alishafanya Kazi MoH.Namfaham Kama Msomi Mahili,nimemkuta Mwaka wa 2 navyoingia Muhimbili akifanya MD.Pongezi kwake.Kwa ufupi WHO imepata Mtu Mwenye Sifa.Mara ya mwisho nikiwa MoH alikuwa Naibu Waziri wa Afya.
 
Ushawishi wa Mwanadiplomasia namba 1 ambae ni SSH na kukubalika Kwa Tanzania
 
Samia ameipeleka nchi mpelampela mpaka mataifa wamemwelewa. Mungu atupe nini. Samia mpaka afie madarakani. Furaha yangu ni kwamba sector binafsi iliyouawa na jpm imefufuka hilo tu.
 
Kwa hiyo tumpongeze rais?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…