Uelekeo555
Senior Member
- Jun 1, 2024
- 160
- 112
ni ishara muhimu na ya maana sana ya ushawishi, kukubalika na kuaminika kwa Tanzania duniani, hasa inchi ilivyo chini ya huyu kiongozi wetu na kipenzi cha waTanzania wote Rais, comrade Dr.Samia Suluhu Hassan 🐒Round One
- Tanzania 19
- Senegal 12
- Niger 7
- Rwanda 7
Special Round to eliminate one candidate
- Niger 22
- Rwanda 20
- Absteein 3
Round Two
- Tanzania 25
- Senegal 14
- Niger 6
Je, hiki ni kiashiria cha imani ya dunia kwa Tanzania?
Hapana. Sio Tanzania iliyochaguliwa bali Dr. Ndugulile. Kuchaguliwa ilitegemea zaidi candidates walivyojipresent kwa delegates. Mengine campaigns & lobbying ni ziada. Unadhani ingekuwa kina mwijaku tungeambulia kitu?Round One
- Tanzania 19
- Senegal 12
- Niger 7
- Rwanda 7
Special Round to eliminate one candidate
- Niger 22
- Rwanda 20
- Absteein 3
Round Two
- Tanzania 25
- Senegal 14
- Niger 6
Je, hiki ni kiashiria cha imani ya dunia kwa Tanzania?
Dunia ikijaa watu wenye akili kama hizi mapambano dhidi ya njaa hayataisha. Nina uhakika unatumia kichwa kufugia nywele pekee yake.Hapana. Sio Tanzania iliyochaguliwa bali Dr. Ndugulile. Kuchaguliwa ilitegemea zaidi candidates walivyojipresent kwa delegates. Mengine campaigns & lobbying ni ziada. Unadhani ingekuwa kina mwijaku tungeambulia kitu?
😄😄Dunia ikijaa watu wenye akili kama hizi mapambano dhidi ya njaa hayataisha. Nina uhakika unatumia kichwa kufugia nywele pekee yake.
Kwan usingeongeza haya yote ungepungukiwa nini?hasa inchi ilivyo chini ya huyu kiongozi wetu na kipenzi cha waTanzania wote Rais, comrade Dr.Samia Suluhu Hassan
Ushawishi wa Mwanadiplomasia namba 1 ambae ni SSH na kukubalika Kwa TanzaniaRound One
- Tanzania 19
- Senegal 12
- Niger 7
- Rwanda 7
Special Round to eliminate one candidate
- Niger 22
- Rwanda 20
- Absteein 3
Round Two
- Tanzania 25
- Senegal 14
- Niger 6
Je, hiki ni kiashiria cha imani ya dunia kwa Tanzania?
Pia soma
Hakuhusika basicaly, dk ndugulile alika na vigezo, kule hamna politicsUshawishi wa Mwanadiplomasia namba 1 ambae ni SSH na kukubalika Kwa Tanzania
Hakuna unachojua wewe,Kuna sehemu hakuna politics?👇👇Hakuhusika basicaly, dk ndugulile alika na vigezo, kule hamna politics
Samia ameipeleka nchi mpelampela mpaka mataifa wamemwelewa. Mungu atupe nini. Samia mpaka afie madarakani. Furaha yangu ni kwamba sector binafsi iliyouawa na jpm imefufuka hilo tu.Round One
- Tanzania 19
- Senegal 12
- Niger 7
- Rwanda 7
Special Round to eliminate one candidate
- Niger 22
- Rwanda 20
- Absteein 3
Round Two
- Tanzania 25
- Senegal 14
- Niger 6
Je, hiki ni kiashiria cha imani ya dunia kwa Tanzania?
Pia soma
Huyu alipigwaRound One
- Tanzania 19
- Senegal 12
- Niger 7
- Rwanda 7
Special Round to eliminate one candidate
- Niger 22
- Rwanda 20
- Absteein 3
Round Two
- Tanzania 25
- Senegal 14
- Niger 6
Je, hiki ni kiashiria cha imani ya dunia kwa Tanzania?
Pia soma
Unachojua wewe ni nini? Ziko sehem unaenda bila politics nyingi sana tu, labda kama hujazunguka dunia hii hau hujawahi fanya kazi na mashikika makubwa ya nje.Hakuna unachojua wewe,Kuna sehemu hakuna politics?
Kwa hiyo tumpongeze rais?ni ishara muhimu na ya maana sana ya ushawishi, kukubalika na kuaminika kwa Tanzania duniani, hasa inchi ilivyo chini ya huyu kiongozi wetu na kipenzi cha waTanzania wote Rais, comrade Dr.Samia Suluhu Hassan 🐒
ni hivyo tu,
endorsements na influence ya huyu mama kitaifa na kimataifa ni 🔥🔥🔥sana aisee...
Unachojua wewe ni nini? Ziko sehem unaenda bila politics nyingi sana tu, labda kama hujazunguka dunia hii hau hujawahi fanya kazi na mashikika makubwa ya nje.
Wenzetu hawana mbambamba
Well bullshit , kiufupi huna uzoefu wowote. Unadandia mafaniko ya watu walitobo na kuyafanyanyia siasa
View: https://www.instagram.com/p/C_Lz0F5tPCe/?igsh=MWVjbGZsd2g2YnJ1bg==
My Take: Ingia tovuti ya Afya fuatilia ziara za Ummy mwezi mmja uliopita kwenye Nchi zaidi ya 8 za Afrika akiwasilisha ujumbe wa Rais.
Kiufupi hujui kitu.
Hakuna uhusiano,mbona Olympic tuliambulia zeroUshawishi wa Mwanadiplomasia namba 1 ambae ni SSH na kukubalika Kwa Tanzania
umeumia sanae na kupata mihemko gentleman kwa ukweli huo?🐒Kwan usingeongeza haya yote ungepungukiwa nini?