Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Siyo kwa Tanzania ni imani specific kwa huyo mgombeaJe, hiki ni kiashiria cha imani ya dunia kwa Tanzania?
Unataka kusema ile speech ya yule waziri mwingine wa kike nayo imetupa sifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kwa Tanzania ni imani specific kwa huyo mgombeaJe, hiki ni kiashiria cha imani ya dunia kwa Tanzania?
Sasa ilikuwaje chura kiziwi akamchagua mtu mwenye taaluma ya ualimu kuwa waziri wa afya akamuacha Dr.?Serikali ilitia nguvu ya Kutosha Kwa Kampeni.Lakini pia Dr.Faustin alikuwa na Sifa stahiki.Angalau kabla ya kuja Kugombea ubunge alishapiga Kazi WHO,alishafanya Kazi MoH.Namfaham Kama Msomi Mahili,nimemkuta Mwaka wa 2 navyoingia Muhimbili akifanya MD.Pongezi kwake.Kwa ufupi WHO imepata Mtu Mwenye Sifa.Mara ya mwisho nikiwa MoH alikuwa Naibu Waziri wa Afya.