Yes,Kwa hiyo tumpongeze rais?
Hoja yako haina maana zaidi ya uchawa,Yes,
hiyo ni muhimu na ni jambo la maana sana, kwasababu bila kibali na endorsement, na influence ya Dr Samia suluhu Hassan, tusingalikua na hata candidate kwenye nafasi hiyo muhimu sana ya kimataifa 🐒
Round One
- Tanzania 19
- Senegal 12
- Niger 7
- Rwanda 7
Special Round to eliminate one candidate
- Niger 22
- Rwanda 20
- Absteein 3
Round Two
- Tanzania 25
- Senegal 14
- Niger 6
Je, hiki ni kiashiria cha imani ya dunia kwa Tanzania?
Pia soma
Hapana. Sio Tanzania iliyochaguliwa bali Dr. Ndugulile. Kuchaguliwa ilitegemea zaidi candidates walivyojipresent kwa delegates. Mengine campaigns & lobbying ni ziada. Unadhani ingekuwa kina mwijaku tungeambulia kitu?
mm huku nilipo karibia najaza ndoo ya machozi ya furaha kwa jinsi ambavo sa100 alivofanikisha mtanzania kuwa mkugenzi who kanda ya africa.Lucas Mwashambwa Tlaatlaah na ChoiceVariable wanajua kwa kinagaubaga......
Watuelezee tububujikwe machozi ya furaha.
ni muhimu sana shukrani zote za kipekee zimfikie Kipenzi cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu Hassan kwasabb ni dhahiri ushawishi wake kimataifa imefanya Tanzania kuaminika na kukubalika sana Africa na duniani kote...Lucas Mwashambwa Tlaatlaah na ChoiceVariable wanajua kwa kinagaubaga......
Watuelezee tububujikwe machozi ya furaha.
nawaombea wote Baraka na Neema za Mungu, ukweli usiwape mihemko 🐒Hoja yako haina maana zaidi ya uchawa,
Hovyo kabisahasa inchi ilivyo chini ya huyu kiongozi wetu na kipenzi cha waTanzania wote Rais, comrade Dr. Samia Suluhu Hasani 🐒
Tuambiwe ni mabilioni mangapi yametumika kumwezesha Ndugu ashinde na tutafaidika vipi na ushindi huu.Round One
- Tanzania 19
- Senegal 12
- Niger 7
- Rwanda 7
Special Round to eliminate one candidate
- Niger 22
- Rwanda 20
- Absteein 3
Round Two
- Tanzania 25
- Senegal 14
- Niger 6
Je, hiki ni kiashiria cha imani ya dunia kwa Tanzania?
Pia soma
ndivyo ukweli unavyo umizaga, pole sana gentleman 🐒Hovyo kabisa
Mkuu hivyo ndio vichwa vinavyoipa shingo mzigo wa kuvibeba..Kwan usingeongeza haya yote ungepungukiwa nini?
Kagame ni mbishi alitaka kutikisa kiberiti kupimana uwezo wa ushawishi na Tanzania. Jibu kashalipata.kwanini rwanda waliweka kandidate?
Nimeshajibu hapo juuHivi Rwanda kwanini iliweka candidate wakati East Africa members wote waliiunga Tanzania mkono!!
😄😄😄Lucas Mwashambwa Tlaatlaah na ChoiceVariable wanajua kwa kinagaubaga......
Watuelezee tububujikwe machozi ya furaha.
Wale walioipenda Rwanda wote waliiunga mkono Tanzania isipokuwa mmoja alienda senegal. Mmoja aliyeipenda niger round ya mwisho alienda SenegalRound One
- Tanzania 19
- Senegal 12
- Niger 7
- Rwanda 7
Special Round to eliminate one candidate
- Niger 22
- Rwanda 20
- Absteein 3
Round Two
- Tanzania 25
- Senegal 14
- Niger 6
Je, hiki ni kiashiria cha imani ya dunia kwa Tanzania?
Pia soma
Mbona ilikua mbinu nzuri tu.....maana kura nyingi zilizopigwa kwa Rwanda walipotoka ndo zikaipa ushindi Tanzania,,,,hapo ingekuwepo nchi nyingine kura zingeweza kwenda kwa Senegal yawe mengineKagame ni mbishi alitaka kutikisa kiberiti kupimana uwezo wa ushawishi na Tanzania. Jibu kashalipata.
Tanzania ilikwenda wapi hapoSpecial Round to eliminate one candidate
- Niger 22
- Rwanda 20
- Absteein 3