Hizi kura za Dkt. Ndugulile zinaashiria Nini?

Je, hiki ni kiashiria cha imani ya dunia kwa Tanzania?
Siyo kwa Tanzania ni imani specific kwa huyo mgombea
Unataka kusema ile speech ya yule waziri mwingine wa kike nayo imetupa sifa
 
Sasa ilikuwaje chura kiziwi akamchagua mtu mwenye taaluma ya ualimu kuwa waziri wa afya akamuacha Dr.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…