Hizi mb zangu ninazotypia hapa zingeshaisha

Duh! Majanga ya mwaka haya yaani hata ulichoandika sijakuelewa labda waje wasomi wanaweza kukuelewa.
 
Duh! Majanga ya mwaka haya yaani hata ulichoandika sijakuelewa labda waje wasomi wanaweza kukuelewa.
Mkuu nadhani wewe umeelewa kuwa hujaelewaa me hata kuelewa sijaelewa bado[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] you tube ni janga saivi, chezea vyuma weyeeeeeh
 
Me pia huwa naipata hiyo changamoto! Nikiona amekuja, nachofanya na-set data limit MB 10 then namkabidhi simu aingie huko YouTube.
 
Katika kitu ambacho sikujaaliwa ni kumwonea aibu mtu hususani ile aibu ya mshumaa ya kuogopa kulalamika ilihali unateketea. Simple unamweleza tu ukweli kwamba simu ni kifaa binafsi hivyo kama anahitaji anunue yake na kama suala ni data basi mweleze atakuharibia budget ulojiwekea kwa kipindi fulani. Hata nyumbani ikiwa unatumia WIFI unalimit matumizi ya baadhi ya website ambazo ni gharama kuingia humo bila umuhimu.
 
Ni vizuri kumwambia ukweli ili siku nyingine ajifunze maana kuna muda tena atakuomba na hutomnyima .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…