Hizi mboga na nafaka kiingereza chake ni kipi?

Hizi mboga na nafaka kiingereza chake ni kipi?

Reginald L. Ishala

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2011
Posts
3,810
Reaction score
6,789
Habari za muda huu wa wanaJF!

Kama yalivyo maelezo hapo juu.

Naomba kufahamu kwa Kiingereza majina ya mboga na nafaka zifuatazo:-

Mlenda, Bamia, Nyanyamshumaa, Mchicha, Kunde, Mbaazi, Dengu, Majani ya Kunde, Matembele, Bilinganya, Msusa, Figiri, Choroko, na Pilipili Hoho.

Natanguliza shukrani.
 
Habari za muda huu wa wanaJF!

Kama yalivyo maelezo hapo juu.

Naomba kufahamu kwa Kiingereza majina ya mboga na nafaka zifuatazo:-

Mlenda, Bamia, Nyanyamshumaa, Mchicha, Kunde, Mbaazi, Dengu, Majani ya Kunde, Matembele, Bilinganya, Msusa, Figiri, Choroko, na Pilipili Hoho.

Natanguliza shukrani.


Mlenda= Jutemallow
Bamia= Okra
Nyanyamshumaa= African eggplant
Mchicha= Amaranth
Kunde= Cowpea
Mbaazi= Pegionpea
Dengu= Lentil
Majani ya kunde= Cowpea leaves
Matembele= Sweet potato leaves
Biringanya= Eggplant
Figiri= Ethiopian Mustard
Choroko= Greengram/Mungbean
Hoho= Sweet pepper
 
Mlenda= Jutemallow
Bamia= Okra
Nyanyamshumaa= African eggplant
Mchicha= Amaranth
Kunde= Cowpea
Mbaazi= Pegionpea
Dengu= Lentil
Majani ya kunde= Cowpea leaves
Matembele= Sweet potato leaves
Biringanya= Eggplant
Figiri= Ethiopian Mustard
Choroko= Greengram/Mungbean
Hoho= Sweet pepper
Alaik mkuu!

Shukrani sana.
 
Mlenda= Jutemallow
Bamia= Okra
Nyanyamshumaa= African eggplant
Mchicha= Amaranth
Kunde= Cowpea
Mbaazi= Pegionpea
Dengu= Lentil
Majani ya kunde= Cowpea leaves
Matembele= Sweet potato leaves
Biringanya= Eggplant
Figiri= Ethiopian Mustard
Choroko= Greengram/Mungbean
Hoho= Sweet pepper
Mbaazi ni Bambaranuts mkuu, acha kumpotosha mleta hoja
 
Asante sana mkuu Dream Queen

Ni kweli mengi yanapatikana www.google.com

Lakini pia yapo yasiyopatikana Google.

Wakati mwingine hatuitumii Google kwa sababu:-

1.Tunajisikia vizuri kupata neno kutoka kinywani mwako.

2.Tunafarijika sana unapo-like au ku (comment) kutolea maoni.

3.Tunajivunia kupata mawili matatu kutoka kwako wewe mwana JamiiForums na Mwana Great Thinker wetu.
Nipigie uyasikie kinywani mwangu
 
Back
Top Bottom