Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Barbara nuts ni Njugu na sio Mbaazi. Google basi kabla huja comment kujiridhisha. Mimi ni mtu wa kilimo ndugu
Na mimi najua hivyo kuwa ni njugu maana zinaingia kwenye kundi la Nuts
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barbara nuts ni Njugu na sio Mbaazi. Google basi kabla huja comment kujiridhisha. Mimi ni mtu wa kilimo ndugu
[emoji23][emoji23][emoji23]Iwe conference call basi [emoji23][emoji23]
Hapana Dengu ni yellow LentilsNitajibu nazojua naanza na;
Bamia - Okra (lady's fingers)
Dengu - The Deng's au The Dengue
Namba yangu sio ndefu saaana,Mkuu, Haujafunga PM!?!!
Ni nadra sana kukuta Inbox au Private Message ya mkuu yoyote wa kike ikiwa haijafungwa.
Sina namba yako ningekupigia simu.
Hapana Mbaazi ni Black eyed PeasKunde = Pea
Mbaazi = Bambaranut
Bilinganya = Egg plant
Hoho ni Bell peppersMlenda= Jutemallow
Bamia= Okra
Nyanyamshumaa= African eggplant
Mchicha= Amaranth
Kunde= Cowpea
Mbaazi= Pegionpea
Dengu= Lentil
Majani ya kunde= Cowpea leaves
Matembele= Sweet potato leaves
Biringanya= Eggplant
Figiri= Ethiopian Mustard
Choroko= Greengram/Mungbean
Hoho= Sweet pepper
Mchicha sio Spinach, wala choroko sio Lentils, nyanya chungu sio garden eggs pia. Hoho kuita Bell pepper ni sawa but common name ni S.peppersHoho ni Bell peppers
Choroko ni Green Lentils
Mchicha ni Spinach ukitaka Local spinach
Nyanya mshumaa kama ni nyanya chungu ni garden eggs
Ni kama nilivyosema mimi ila hata ukigoogle utaona ni uhakika,sivijui vitu hivi kwa kukugoogle navijua kwa kuviona!Mchicha sio Spinach, wala choroko sio Lentils, nyanya chungu sio garden eggs pia. Hoho kuita Bell pepper ni sawa but common name ni S.peppers
Mimi ni mtaalamu wa kilimo. Najua ninachosema nduguNi kama nilivyosema mimi ila hata ukigoogle utaona ni uhakika,sivijui vitu hivi kwa kukugoogle navijua kwa kuviona!
Utaalamu wa kilimo na kuvijua vitu kwa lugha ya kiingereza havina uhusiano mkuu.Hapa tunazungumzia Lugha.Pliz google weka na picha zake!Me navijua kama mtaalam wa lishe!Mimi ni mtaalamu wa kilimo. Najua ninachosema ndugu
Kilimo tunakisoma kwa kiingereza. Unavijua kama mtaalamu wa lishe kwa lugha ipi?Utaalamu wa kilimo na kuvijua vitu kwa lugha ya kiingereza havina uhusiano mkuu.Hapa tunazungumzia Lugha.Pliz google weka na picha zake!Me navijua kama mtaalam wa lishe!
Kilimo kina utaalamu gani?Mimi ni mtaalamu wa kilimo. Najua ninachosema ndugu
Sijui nikujibuje lakini kilimo ni utaalamu au sayansi ya vitendo. Ni kama utaalamu mwingine wowote. Ukienda SUA utaelewa zaidi maana zipo shahada zaidi ya 20 tofauti za kilimoKilimo kina utaalamu gani?
Na ndio maana nimekuambia majina kwa kiingereza ,usiwe mbishi,majina niliyosema nina uhakika nayo.Umeona nimekubishia eggplant?Okra?na Mboga nyingine?Umepatia ndio maana nimechagua ambazo umekosea.Kilimo tunakisoma kwa kiingereza. Unavijua kama mtaalamu wa lishe kwa lugha ipi?
Majina yote niliyoyayoa nipo sahihi na nina uhakika 100% na ukitaka scientific names pia nitakupa. Hata ukitaka ingredients za hizo mboga na mazao nitakupa pia
Tusibishane mkuu. Ila usidanganye na heshimu tasnia za watu. Umesema wewe ni mtu wa lishe hivyo naheshimu tasnia yako.Na ndio maana nimekuambia majina kwa kiingereza ,usiwe mbishi,majina niliyosema nina uhakika nayo.Umeona nimekubishia eggplant?Okra?na Mboga nyingine?Umepatia ndio maana nimechagua ambazo umekosea.
Yaani mtu na akili zako unaenda SUA kujifunza sayansi ya kupanda nyanya au mchicha?Sijui nikujibuje lakini kilimo ni utaalamu au sayansi ya vitendo. Ni kama utaalamu mwingine wowote. Ukienda SUA utaelewa zaidi maana zipo shahada zaidi ya 20 tofauti za kilimo