Trubetzkoy
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 349
- 678
Nyanya ntole? hiki ni kiswahili kweli?Asante mkuu, Lakini.....
Naomba uniongezee tafsiri ya Nyanyantole kwa Kiingereza.
We jamaa ni muha sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyanya ntole? hiki ni kiswahili kweli?Asante mkuu, Lakini.....
Naomba uniongezee tafsiri ya Nyanyantole kwa Kiingereza.
Mkuu, Umenikumbusha ule ugonjwa wa homa ya "Dengue", Hivi Ulivuma vuma na kule kwenu au ulivuma tu huku kwetu!?Nitajibu nazojua naanza na;
Bamia - Okra (lady's fingers)
Dengu - The Deng's au The Dengue
Nafikiri umegeuza, mbaazi ndio pea na kunde ni bambanutsKunde = Pea
Mbaazi = Bambaranut
Bilinganya = Egg plant
SpinachUmesema ametaja "scientific name". Mkuu kiumbempole naomba unijuze "common name" yake.
Nashukuru sana kwa mchango wako.
Shukrani sana mkuu,mada tamu saaaana hii
mimi pia ua nataman saana kujua dengu inaitwaaje kwa kingereza
Mlenda= Jutemallow
Bamia= Okra
Nyanyamshumaa= African eggplant
Mchicha= Amaranth
Kunde= Cowpea
Mbaazi= Pegionpea
Dengu= Lentil
Majani ya kunde= Cowpea leaves
Matembele= Sweet potato leaves
Biringanya= Eggplant
Figiri= Ethiopian Mustard
Choroko= Greengram/Mungbean
Hoho= Sweet pepper
Ni kweli mkuu AkilinjemaSUA walipaswa watuwekee hayo mavitu kwenye goggle lakini wapiii?!
SUA bana!
Mkuu pleo wakati nikivinjari vinjari mtandaoni nikaona "LETTUCE", Ikiwa katika tafsiri ya Kiswahili, kwa neno, "SALADI"Botanical name=Launea cornuta
Common name = bitter lettuce
Saladi nahisi kwa haraka ni jina lililotoholewa kujenga picha Ila kwa ninachojua "MCHUNGA" ni jina halisi la kiswahili ambalo pia baadhi ya makabila wanalitumia.Mkuu pleo wakati nikivinjari vinjari mtandaoni nikaona "LETTUCE", Ikiwa katika tafsiri ya Kiswahili, kwa neno, "SALADI"
Mahali penyewe ni www.spokenswahili.com