Hizi mboga na nafaka kiingereza chake ni kipi?

Hizi mboga na nafaka kiingereza chake ni kipi?

Saladi nahisi kwa haraka ni jina lililotoholewa kujenga picha Ila kwa ninachojua "MCHUNGA" ni jina halisi la kiswahili ambalo pia baadhi ya makabila wanalitumia.

Mmea huu asili yake ni pwani ya Afrika mashariki.....
Mmea unaofanana na huu ambao unaweza kupatikana kwenye Kanda nyingine za kiikolojia unafahamika kama Wild lettuce Ila botanical name ni tofauti na Mchunga japo yote Ina sifa ya kutumika kama chakula na dawa kwa pamoja.
Pia ni kongezea: Mchunga sio salad bali ni wild lettuce. Salad ni aina ya mboga inayoota kama magugu maji na inapatikana kwa wingi Arusha na Moshi hasa katika maeneo yenye maji maji au mifereji. Jina Mchunga ni la kiswahili
 
Mkuu Alaik Naomba unitajie TYPES OF NUTS "EDIBLE"

Nimekutana na "JAMII ZAKE" halafu na "TYPES" zake kama tatu hivi.

Lakini sina uhakika zimetimia na ni sahihi zilizosemwa hapa

www.masterclass.com/articles/types-of-edible-nuts
Pitia hapa kwanza

 
Habari za muda huu wa wanaJF!

Kama yalivyo maelezo hapo juu.

Naomba kufahamu kwa Kiingereza majina ya mboga na nafaka zifuatazo:-

Mlenda, Bamia, Nyanyamshumaa, Mchicha, Kunde, Mbaazi, Dengu, Majani ya Kunde, Matembele, Bilinganya, Msusa, Figiri, Choroko, na Pilipili Hoho.

Natanguliza shukrani.
Mlenda - Mucus
Bamia - Lady finger
Nyanyamshumaa - Tomato-Candle
Mchicha - Leafy greens
Kunde - Micro beans
Mbaazi - Green Soy
Dengu- Yellow beans
Majani ya kunde - Micro bean leaves
Matembele - Front Saliva
Bilinganya - Purple Billi
Msusa - Muabandon
Figiri - Feegys
Choroko - Bad Meets Evil
Pilipili HoHo- Green Pepper
 
Hapana mkuu mimi nilisoma kilimo na ni mtafiti wa kilimo biashara
Sifahamu kama ni "STASHAHADA" au ni "SHAHADA" hii, Lakini vyovyote iwavyo hakuna "ADA YA MZAZI" wala "ADA YA SERIKALI" iliyochezewa hapa, Bali imetendewa kazi ipasavyo.

Siyo wale ndugu zangu PhD Holders utumbo milioni bungeni.
 
Mlenda - Mucus
Bamia - Lady finger
Nyanyamshumaa - Tomato-Candle
Mchicha - Leafy greens
Kunde - Micro beans
Mbaazi - Green Soy
Dengu- Yellow beans
Majani ya kunde - Micro bean leaves
Matembele - Front Saliva
Bilinganya - Purple Billi
Msusa - Muabandon
Figiri - Feegys
Choroko - Bad Meets Evil
Pilipili HoHo- Green Pepper
Mkuu Extrovert Shukrani sana kwa mchango wako.
 
Hali yangu njema sijui yako bwana Reginald,

Huyo kwenye profile ni wewe???
Samahani kama nipo nje ya mada
Mimi niko njema kabisa mkuu wangu.

Bila samahani, Ni ndani ya mada kwa maana pasina wasifu/profile nisingeliweza kuchapisha chapisho hili.

Naam, Mimi ndiye umuonaye katika avatar au wasifu/profile hapo juu.
 
Una adabu sana kijana pia u mpole na zaidi una busara,

Hongera sana, usije ukabadilishwa na mabazazi wa humu JF, endelea na tabia njema hivyo hivyo.
Nashukuru sana mkuu wangu.

Kwa adabu sawa, Lakini kwa upole hapana, Mimi huwa ni mkali. Nimerithi ukali huo kwa hayati mama mzazi.

Kubadilika kwa mtu kuna tegemea na aina ya malezi aliyokulia sanjari na mazingira yanayo mzunguka.

Lakini pia itabidi nibadili hiyo avatar [picha ya wasifu/profile] hapo juu.

Kwa maana ni ya muda mrefu, Halafu wakuu wa humu JamiiForums wananiita mtoto wakati niko juu ya miaka 30+
 
Habarini wana JF wenzangu.
Naomba kufahamishwa pia ivi vitu vinaitwaaaje kwa KINGEREZA.
1.pili pili kichaa.
2.pili pili mbuzi
3.magimbi.
Asanteen
 
Shukrani mkuu Mwija8

Hapa umeniongezea kazi ya ziada.

Bado naendelea kuchambua chambua yakipatikana yalokwisha safishika motoni nitakujuza.
 
Mlenda= Jutemallow
Bamia= Okra
Nyanyamshumaa= African eggplant
Mchicha= Amaranth
Kunde= Cowpea
Mbaazi= Pegionpea
Dengu= Lentil
Majani ya kunde= Cowpea leaves
Matembele= Sweet potato leaves
Biringanya= Eggplant
Figiri= Ethiopian Mustard
Choroko= Greengram/Mungbean
Hoho= Sweet pepper
noma sana mtaalam
 
Back
Top Bottom