Alaik
Member
- Jul 30, 2012
- 61
- 119
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28] Mkuu naomba nisiseme nenoYaani mtu na akili zako unaenda SUA kujifunza sayansi ya kupanda nyanya au mchicha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28] Mkuu naomba nisiseme nenoYaani mtu na akili zako unaenda SUA kujifunza sayansi ya kupanda nyanya au mchicha?
Huyo ndiyo graduate wa SUA. Hata majina ya mimea vipando hayajuiNa ndio maana nimekuambia majina kwa kiingereza ,usiwe mbishi,majina niliyosema nina uhakika nayo.Umeona nimekubishia eggplant?Okra?na Mboga nyingine?Umepatia ndio maana nimechagua ambazo umekosea.
Na mimi sijakosea hata moja.Wewe ndio huheshimu tasnia za watu maana unalazimisha wewe upo sahihi,Narudia ulimopatia nakuunga mkono,ulimokosea nimekurekebisha.Kama umesema we agree to disagree ni sahihi kwako lakini mimi nina disagree to agree.Tusibishane mkuu. Ila usidanganye na heshimu tasnia za watu. Umesema wewe ni mtu wa lishe hivyo naheshimu tasnia yako.
Sijakosea hata moja na tukubaliane kutokukubaliana katika hili
Collard ni jamii ya sukuma wiki
Asante mkuu, Lakini.....Nyanyamshumaa=Tomatocandle ....
Kama lilivyo jina lako basi ndivyo ulivyo. Najivunia kuwa graduate wa SUA na najivunia kuwa mtaalamu wa Kilimo. Hujui kilimo tulia wala usilete porojo.Huyo ndiyo graduate wa SUA. Hata majina ya mimea vipando hayajui
Sikulazimishi ila naomba niseme wewe hujui unachosema na utakuja kujua baadaye utakapoacha ushindani ukakaa kujifunza.Na mimi sijakosea hata moja.Wewe ndio huheshimu tasnia za watu maana unalazimisha wewe upo sahihi,Narudia ulimopatia nakuunga mkono,ulimokosea nimekurekebisha.Kama umesema we agree to disagree ni sahihi kwako lakini mimi nina disagree to agree.
Dengu sio Dengue banaNashukuru sana mkuu.
Nimepata madini mapya, Naendelea kujifunza.
That's why mchicha umeuita amaranth ambayo kimsingi ni scientific name sio English name.Kilimo tunakisoma kwa kiingereza. Unavijua kama mtaalamu wa lishe kwa lugha ipi?
Majina yote niliyoyayoa nipo sahihi na nina uhakika 100% na ukitaka scientific names pia nitakupa. Hata ukitaka ingredients za hizo mboga na mazao nitakupa pia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyanyamshumaa=Tomatocandle ....
Barbara nuts ni Njugu na sio Mbaazi. Google basi kabla huja comment kujiridhisha. Mimi ni mtu wa kilimo ndugu
Umesema ametaja "scientific name". Mkuu kiumbempole naomba unijuze "common name" yake.That's why mchicha umeuita amaranth ambayo kimsingi ni scientific name sio English name.
Ila asante kwa mchango wako kwenye post ya mtoa mada
Lazima utakuwa ulisoma Agriculture mtaalam. Asante Sana.Mlenda= Jutemallow
Bamia= Okra
Nyanyamshumaa= African eggplant
Mchicha= Amaranth
Kunde= Cowpea
Mbaazi= Pegionpea
Dengu= Lentil
Majani ya kunde= Cowpea leaves
Matembele= Sweet potato leaves
Biringanya= Eggplant
Figiri= Ethiopian Mustard
Choroko= Greengram/Mungbean
Hoho= Sweet pepper
Mlenda= Jutemallow
Bamia= Okra
Nyanyamshumaa= African eggplant
Mchicha= Amaranth
Kunde= Cowpea
Mbaazi= Pegionpea
Dengu= Lentil
Majani ya kunde= Cowpea leaves
Matembele= Sweet potato leaves
Biringanya= Eggplant
Figiri= Ethiopian Mustard
Choroko= Greengram/Mungbean
Hoho= Sweet pepper
One organism can have more than one common names. Bell pepper, sweet pepper, hoho, green pepper, etcMchicha sio Spinach, wala choroko sio Lentils, nyanya chungu sio garden eggs pia. Hoho kuita Bell pepper ni sawa but common name ni S.peppers
Sawa, Mkuu!Collard ni jamii ya sukuma wiki