Hizi mboga na nafaka kiingereza chake ni kipi?

Habarini wana JF wenzangu.
Naomba kufahamishwa pia ivi vitu vinaitwaaaje kwa KINGEREZA.
1.pili pili kichaa.
2.pili pili mbuzi
3.magimbi.
Asanteen
Mkuu, Kwa "Kichaa" nami ni mtupu kabisa hapo.

Utaona "Chilli Peppers" wakisema ni "Pilipili Kali" kigugumizi ni pale uki search "Pilipili Kichaa".

Lakini ukiangalia images zake pale www.google.com kwa "Chilli Peppers" au "Pilipili Kali" zinakuja, na muonekano ni ule ule wa "Pilipili Kichaa".

Safisha mboni hapa mkuu
www.african-food-recipes.blogspot.com/2019/02/translation-of-spices-from-english-to.html?m=1
 
Mkuu Alaik

Nimevuna vuna madini katika kiunga ulichonipatia.

Nashukuru sana mkuu, Kuna kitu pale sijakiona "Types za true nuts"
 
Mkuu Alaik uko vizuri mkuu , lakini naomba ucheki vizuri figili/ figiri sidhani kama inaitwa hivyo as Ethiopian mustard naomba utuchekie tena
 
Mkuu Alaik uko vizuri mkuu , lakini naomba ucheki vizuri figili/ figiri sidhani kama inaitwa hivyo as Ethiopian mustard naomba utuchekie tena
Mkuu, Shukrani sana kwa mchango wako.

Nami natatizika hapo kwenye neno, "mustard"

Hivi "Haradali" siyo "Mustard" kwa Kiingereza kweli!?!!
 
Bamia - okra
Dengu - lentils
Choroko - green gram
Kunde - cow peas
Bilinganya - egg plant
Pilipili hoho zimetajwa na mdau hapo juu
Mengine watajazia wadau
 
Bamia - okra
Dengu - lentils
Choroko - green gram
Kunde - cow peas
Bilinganya - egg plant
Pilipili hoho zimetajwa na mdau hapo juu
Mengine watajazia wadau
Sawa, Mkuu!
Nashukuru sana mchango wako.
 
msahada wana JF wenzangu,
as ina hizi za maharagwe kwa kingereza zinaitwaaaje?
Nawasilisha.[emoji122]View attachment 1941093
Shukrani sana kwa mchango wako wa dhati katika uzi huu.

Mimi pia binafsi aina hizo zisifahamu, Labda waje wakuu wengine watusaidie hapa.

Na mkuu Dream Queen simpati kwa wiki kadhaa hivi, Angeonekana hapa huenda angetia neno.
 
Haya majina ulikuwa unafanya masihara .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…