Hizi ndege zinazotengenezwa Tanzania zinauzwa bei gani?

Hawa sasa ndio wa kuitwa ikulu na bungeni sio unawaita kina dotto magari na the like..!
Tatizo hawa hawasifii hata visivyosifika na wakazi wa ikulu wanapenda sifa.
Akitoa ushuzi anataka apigiwe makofi na kuambiwa kajamba faluda.
 
Labda kwetu hapa gharama hazishikiki. Wenzetu kupata leseni ya chini wastani ni 15,000 Usd.
 
I wish nifanye test flight nione stability yake huko angani so far so good hata landing gears zake zimekaa mkao... nipo keen kujua Navaids zake zinaperfom vipi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…