Hizi ndio dalili za kuwa wewe ni Domo zege!

Siku hizi usipokua na hela ndo domo zege, ila kama una chapaa hata kutongoza hutongozi unakula tu. Wadada ndo walipotufikisha huku siku ya kwanza ya pili anakuomba laki tutafanyaje sasa kama sio kuwaogopa.
 
Hela ndiyo kila kitu ukiwa na pesa udomo zege unapotea wenyewe
 
Huyu Mimi kaabisaaa
 
Upo nje ya muda mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…