Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Ila wajinga wanazidi kua MasikiniMaadamu havunji Sheria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wajinga wanazidi kua MasikiniMaadamu havunji Sheria
Nilipoliziwa Moshi tu siku 3 inabangua kichwa km kuna kuni moto nimewekewa utosini Bangi sio mchezoTokea baba mchungaji aniambie niache kuvuta bangi basi siwapendi wakati bangi ni chakula cha ubongo.
Anachukua kidogo mbonaIla wajinga wanazidi kua Masikini
Ndio wajinga wanazidi kua MasikiniAnachukua kidogo mbona
😃😃😃😃😃😃😃😃Nilipoliziwa Moshi tu siku 3 inabangua kichwa km kuna kuni moto nimewekewa utosini Bangi sio mchezo
Masikini wapo siku zote usipopigwa kwa nabii utapigwa online au kwa madalaliNdio wajinga wanazidi kua Masikini
Sivuti nimekwambia nilipoliziwa Moshi na wanaovuta Mimi sio mvutaji km nyinyi mmeanza kuvuta mpo tumboni mwa Mama zenu kwa hio Bangi IPO kwenye damu zenu Mimi Mama yangu hakua anavuta Bangi nilipokua kwenye tumbo lake kwa hio lazima kichwa changu kiwe tofauti na vichwa vyenu😃😃😃😃😃😃😃😃
Mwanangu una kichwa kibovu, Mimi nimeanza kuvuta bangi nipo darasa la 6. Mpaka Sasa navuta bangi yenye ubora na kiwango ya Hali ya juu, shs 15000 gram 1 . Pengine wewe ulipania ndiyo maana imekukataa ukivuta bangi unatakiwa u relax.
Wajinga wengi wanaumia na hawa manabiiMasikini wapo siku zote usipopigwa kwa nabii utapigwa online au kwa madalali
Simjui siwezi comment chochote.Kama kuna utumwa wa akili unaoingia watu kwa Kasi siku hizi, basi ni hizi Imani kwa manabii;
✓ Unapofika utapigwa neno
(na Ukweli ni kwamba sio neno la Mungu kwa kumaanisha, Bali ni promo tu), wakimaliza mtaambiwa TOA SADAKA. Halafu utaambiwa nunua maji na mafuta (ambavyo vitakugharimu tena kama Shs 20,000/=).
✓ Mkimaliza hatua hiyo, itakuja pesa ya fomu ya KUONANA NA NABII. Hapa strictly kumuona Nabii binafsi ni Shs 500,000/= (LAKI TANO). Ukilia lia na ukifikiriwa chini ya hapo basi utakutana na Wasaidizi wa Nabii Lakini haitapungua Shs 100,000/=
✓ Ukishamuona AU ukisha Waona, na kuulizwa unafanya kazi gani, utaelezewa tatizo lako (mara nyingi utaambiwa umelogwa). Maombi yake utaambiwa Mungu anataka Shs 1,000,000/= Hadi 5,000,000/=. Hapo utatolewa vitu mwilini na bla blaa za maombi kisha utaambiwa uendelee kuhudhuria pale maana tatizo haliwezi kuisha Kwa siku Moja.
Hivi hapa kuna Mungu kweli Wadanganyika wenzangu?
- Huyu anayejiita Nabii kiboko wa wachawi achunguzwe
🤣Usipotaka kuyajua maandiko bure utayajua kwa kuyalipia
Acha yapigwe hayana akili.Kama kuna utumwa wa akili unaoingia watu kwa Kasi siku hizi, basi ni hizi Imani kwa manabii;
✓ Unapofika utapigwa neno
(na Ukweli ni kwamba sio neno la Mungu kwa kumaanisha, Bali ni promo tu), wakimaliza mtaambiwa TOA SADAKA. Halafu utaambiwa nunua maji na mafuta (ambavyo vitakugharimu tena kama Shs 20,000/=).
✓ Mkimaliza hatua hiyo, itakuja pesa ya fomu ya KUONANA NA NABII. Hapa strictly kumuona Nabii binafsi ni Shs 500,000/= (LAKI TANO). Ukilia lia na ukifikiriwa chini ya hapo basi utakutana na Wasaidizi wa Nabii Lakini haitapungua Shs 100,000/=
✓ Ukishamuona AU ukisha Waona, na kuulizwa unafanya kazi gani, utaelezewa tatizo lako (mara nyingi utaambiwa umelogwa). Maombi yake utaambiwa Mungu anataka Shs 1,000,000/= Hadi 5,000,000/=. Hapo utatolewa vitu mwilini na bla blaa za maombi kisha utaambiwa uendelee kuhudhuria pale maana tatizo haliwezi kuisha Kwa siku Moja.
Hivi hapa kuna Mungu kweli Wadanganyika wenzangu?
- Huyu anayejiita Nabii kiboko wa wachawi achunguzwe
hivi hawa watu wakidai tu wao ni manabii na vimiujiza kidogo tunawaaminiKama kuna utumwa wa akili unaoingia watu kwa Kasi siku hizi, basi ni hizi Imani kwa manabii;
✓ Unapofika utapigwa neno
(na Ukweli ni kwamba sio neno la Mungu kwa kumaanisha, Bali ni promo tu), wakimaliza mtaambiwa TOA SADAKA. Halafu utaambiwa nunua maji na mafuta (ambavyo vitakugharimu tena kama Shs 20,000/=).
✓ Mkimaliza hatua hiyo, itakuja pesa ya fomu ya KUONANA NA NABII. Hapa strictly kumuona Nabii binafsi ni Shs 500,000/= (LAKI TANO). Ukilia lia na ukifikiriwa chini ya hapo basi utakutana na Wasaidizi wa Nabii Lakini haitapungua Shs 100,000/=
✓ Ukishamuona AU ukisha Waona, na kuulizwa unafanya kazi gani, utaelezewa tatizo lako (mara nyingi utaambiwa umelogwa). Maombi yake utaambiwa Mungu anataka Shs 1,000,000/= Hadi 5,000,000/=. Hapo utatolewa vitu mwilini na bla blaa za maombi kisha utaambiwa uendelee kuhudhuria pale maana tatizo haliwezi kuisha Kwa siku Moja.
Hivi hapa kuna Mungu kweli Wadanganyika wenzangu?
- Huyu anayejiita Nabii kiboko wa wachawi achunguzwe
Pastor Hananja anakwambia utajiri ni mpango wa akili, daka fursa. 🤣😂Utajiri ni akili na umasikini ni akili pia, chagua tu unataka akili zipi.