Hizi ndio gharama za kwenda kuombewa na Nabii mmoja aliyepo Buza

Hizi ndio gharama za kwenda kuombewa na Nabii mmoja aliyepo Buza

Mungu wa kweli aliyemtuma Yesu duniani hahitaji hata senti yako. Anahitaji moyo tu. Hata Ibrahim alipewa mwanakondoo badala ya mwanae. Mungu aliangalia moyo tu!
 
Mkiambiwa mumtafute Mungu wa kweli hamtaki ngoja waganga wavaa suti wapige pesa zenu mpka mtoke vumbi makalioni
 
Huyo jamaa ni tapeli wa kutupa

Huyo jamaa amemtapeli mama yangu mzazi Tshs 100,000 ambayo angeweza hata kununua chakula kikamsogeza kwa siku kadhaa.

Wanaopigwa pale wengi ni wanawake

Mwanzoni bimkubwa kabla hajaenda nilimpa tahadhari kwamba awe makini mana mjini siku hizi matapeli ni wengi ambao wanajificha kwenye kimvuli cha dini kwa kujiita manabii.

Kwakua bimkubwa alishaweka imani nae nikamwambia haya nenda kajionee na kweli alivyorudi ndo akagundua kwamba katapeliwa mana aliambiwa ili atibiwe miguu yake anatakiwa apeleke Tshs 3,000,000 na ukizingatia yeye bimkubwa ni mstaafu.

Huyo jamaa ni tapeli haswa.
 
Nilipoliziwa Moshi tu siku 3 inabangua kichwa km kuna kuni moto nimewekewa utosini Bangi sio mchezo
😃😃😃😃😃😃😃😃
Mwanangu una kichwa kibovu, Mimi nimeanza kuvuta bangi nipo darasa la 6. Mpaka Sasa navuta bangi yenye ubora na kiwango ya Hali ya juu, shs 15000 gram 1 . Pengine wewe ulipania ndiyo maana imekukataa ukivuta bangi unatakiwa u relax.
 
😃😃😃😃😃😃😃😃
Mwanangu una kichwa kibovu, Mimi nimeanza kuvuta bangi nipo darasa la 6. Mpaka Sasa navuta bangi yenye ubora na kiwango ya Hali ya juu, shs 15000 gram 1 . Pengine wewe ulipania ndiyo maana imekukataa ukivuta bangi unatakiwa u relax.
Sivuti nimekwambia nilipoliziwa Moshi na wanaovuta Mimi sio mvutaji km nyinyi mmeanza kuvuta mpo tumboni mwa Mama zenu kwa hio Bangi IPO kwenye damu zenu Mimi Mama yangu hakua anavuta Bangi nilipokua kwenye tumbo lake kwa hio lazima kichwa changu kiwe tofauti na vichwa vyenu
 
Kama kuna utumwa wa akili unaoingia watu kwa Kasi siku hizi, basi ni hizi Imani kwa manabii;

✓ Unapofika utapigwa neno
(na Ukweli ni kwamba sio neno la Mungu kwa kumaanisha, Bali ni promo tu), wakimaliza mtaambiwa TOA SADAKA. Halafu utaambiwa nunua maji na mafuta (ambavyo vitakugharimu tena kama Shs 20,000/=).

✓ Mkimaliza hatua hiyo, itakuja pesa ya fomu ya KUONANA NA NABII. Hapa strictly kumuona Nabii binafsi ni Shs 500,000/= (LAKI TANO). Ukilia lia na ukifikiriwa chini ya hapo basi utakutana na Wasaidizi wa Nabii Lakini haitapungua Shs 100,000/=

✓ Ukishamuona AU ukisha Waona, na kuulizwa unafanya kazi gani, utaelezewa tatizo lako (mara nyingi utaambiwa umelogwa). Maombi yake utaambiwa Mungu anataka Shs 1,000,000/= Hadi 5,000,000/=. Hapo utatolewa vitu mwilini na bla blaa za maombi kisha utaambiwa uendelee kuhudhuria pale maana tatizo haliwezi kuisha Kwa siku Moja.

Hivi hapa kuna Mungu kweli Wadanganyika wenzangu?

- Huyu anayejiita Nabii kiboko wa wachawi achunguzwe
Simjui siwezi comment chochote.

😅
Ila km ndo mi nikienda baada ya hilo neno naondoka sitoki ht 100
 
Kama kuna utumwa wa akili unaoingia watu kwa Kasi siku hizi, basi ni hizi Imani kwa manabii;

✓ Unapofika utapigwa neno
(na Ukweli ni kwamba sio neno la Mungu kwa kumaanisha, Bali ni promo tu), wakimaliza mtaambiwa TOA SADAKA. Halafu utaambiwa nunua maji na mafuta (ambavyo vitakugharimu tena kama Shs 20,000/=).

✓ Mkimaliza hatua hiyo, itakuja pesa ya fomu ya KUONANA NA NABII. Hapa strictly kumuona Nabii binafsi ni Shs 500,000/= (LAKI TANO). Ukilia lia na ukifikiriwa chini ya hapo basi utakutana na Wasaidizi wa Nabii Lakini haitapungua Shs 100,000/=

✓ Ukishamuona AU ukisha Waona, na kuulizwa unafanya kazi gani, utaelezewa tatizo lako (mara nyingi utaambiwa umelogwa). Maombi yake utaambiwa Mungu anataka Shs 1,000,000/= Hadi 5,000,000/=. Hapo utatolewa vitu mwilini na bla blaa za maombi kisha utaambiwa uendelee kuhudhuria pale maana tatizo haliwezi kuisha Kwa siku Moja.

Hivi hapa kuna Mungu kweli Wadanganyika wenzangu?

- Huyu anayejiita Nabii kiboko wa wachawi achunguzwe
Acha yapigwe hayana akili.
 
Kama kuna utumwa wa akili unaoingia watu kwa Kasi siku hizi, basi ni hizi Imani kwa manabii;

✓ Unapofika utapigwa neno
(na Ukweli ni kwamba sio neno la Mungu kwa kumaanisha, Bali ni promo tu), wakimaliza mtaambiwa TOA SADAKA. Halafu utaambiwa nunua maji na mafuta (ambavyo vitakugharimu tena kama Shs 20,000/=).

✓ Mkimaliza hatua hiyo, itakuja pesa ya fomu ya KUONANA NA NABII. Hapa strictly kumuona Nabii binafsi ni Shs 500,000/= (LAKI TANO). Ukilia lia na ukifikiriwa chini ya hapo basi utakutana na Wasaidizi wa Nabii Lakini haitapungua Shs 100,000/=

✓ Ukishamuona AU ukisha Waona, na kuulizwa unafanya kazi gani, utaelezewa tatizo lako (mara nyingi utaambiwa umelogwa). Maombi yake utaambiwa Mungu anataka Shs 1,000,000/= Hadi 5,000,000/=. Hapo utatolewa vitu mwilini na bla blaa za maombi kisha utaambiwa uendelee kuhudhuria pale maana tatizo haliwezi kuisha Kwa siku Moja.

Hivi hapa kuna Mungu kweli Wadanganyika wenzangu?

- Huyu anayejiita Nabii kiboko wa wachawi achunguzwe
hivi hawa watu wakidai tu wao ni manabii na vimiujiza kidogo tunawaamini
wote ni watafutaji
 
Back
Top Bottom