Hizi ndio gharama za kwenda kuombewa na Nabii mmoja aliyepo Buza

Hizi ndio gharama za kwenda kuombewa na Nabii mmoja aliyepo Buza

Kama kuna utumwa wa akili unaoingia watu kwa Kasi siku hizi, basi ni hizi Imani kwa manabii;

✓ Unapofika utapigwa neno
(na Ukweli ni kwamba sio neno la Mungu kwa kumaanisha, Bali ni promo tu), wakimaliza mtaambiwa TOA SADAKA. Halafu utaambiwa nunua maji na mafuta (ambavyo vitakugharimu tena kama Shs 20,000/=).

✓ Mkimaliza hatua hiyo, itakuja pesa ya fomu ya KUONANA NA NABII. Hapa strictly kumuona Nabii binafsi ni Shs 500,000/= (LAKI TANO). Ukilia lia na ukifikiriwa chini ya hapo basi utakutana na Wasaidizi wa Nabii Lakini haitapungua Shs 100,000/=

✓ Ukishamuona AU ukisha Waona, na kuulizwa unafanya kazi gani, utaelezewa tatizo lako (mara nyingi utaambiwa umelogwa). Maombi yake utaambiwa Mungu anataka Shs 1,000,000/= Hadi 5,000,000/=. Hapo utatolewa vitu mwilini na bla blaa za maombi kisha utaambiwa uendelee kuhudhuria pale maana tatizo haliwezi kuisha Kwa siku Moja.

Hivi hapa kuna Mungu kweli Wadanganyika wenzangu?

- Huyu anayejiita Nabii kiboko wa wachawi achunguzwe
Mm namuamin
 
Wakati huo akiwa na mtunza fedha bwana Yuda eskariote,nguvu ya pesa achana nayo wala usiishushe hadhi,chamsingi tusake pesa.
Acha wapigwe tu, Yesu alisema mmepewa bure toeni bure
 
Wakati huo akiwa na mtunza fedha bwana Yuda eskariote,nguvu ya pesa achana nayo wala usiishushe hadhi,chamsingi tusake pesa.
Mathayo 10:8

[8]Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.

Hakuna mahali Yesu au wanafunzi wake waliponya watu na kuchukua pesa, sio Yesu tu hata manabii hawakuchukua pesa kwa watu baada ya kuwahudumia

Hawa wengine wote ni wapigaji tu
 
Huyu nabii feki ni mshenzi, tena ni mwizi.. Anastahili kukamatwa na kufungwa kwa utapeli wake.. Hakuna nabii hapo..
 
Kwaio ukitoa hio 1M, yeye ana tumia njia gani kuifikisha kwa MUNGU?
 
Uzuri wa bahati maandiko matakatifu yamesha tuonya kuhusu manabii wa uongo
 
Ugumu wa maisha unawachanganya watu akili, wanajikuta wanaamini mpaka vitu visivyo ingia akilini kirahisi
 
Yani kama Mimi hapa Sijapata kazi Mwaka wa 3 nahisi kulogwa na nikifika pale napigwa 100k yangu.

Ila ukijua sio ww tu umetesek kumbe hata waliopata sasa waliteseka Basi utasubiri mda wako ufike.

Jinyenyekeze chini ya mkono ulio hodari.....
 
Kama kuna utumwa wa akili unaoingia watu kwa Kasi siku hizi, basi ni hizi Imani kwa manabii;

✓ Unapofika utapigwa neno
(na Ukweli ni kwamba sio neno la Mungu kwa kumaanisha, Bali ni promo tu), wakimaliza mtaambiwa TOA SADAKA. Halafu utaambiwa nunua maji na mafuta (ambavyo vitakugharimu tena kama Shs 20,000/=).

✓ Mkimaliza hatua hiyo, itakuja pesa ya fomu ya KUONANA NA NABII. Hapa strictly kumuona Nabii binafsi ni Shs 500,000/= (LAKI TANO). Ukilia lia na ukifikiriwa chini ya hapo basi utakutana na Wasaidizi wa Nabii Lakini haitapungua Shs 100,000/=

✓ Ukishamuona AU ukisha Waona, na kuulizwa unafanya kazi gani, utaelezewa tatizo lako (mara nyingi utaambiwa umelogwa). Maombi yake utaambiwa Mungu anataka Shs 1,000,000/= Hadi 5,000,000/=. Hapo utatolewa vitu mwilini na bla blaa za maombi kisha utaambiwa uendelee kuhudhuria pale maana tatizo haliwezi kuisha Kwa siku Moja.

Hivi hapa kuna Mungu kweli Wadanganyika wenzangu?

- Huyu anayejiita Nabii kiboko wa wachawi achunguzwe
Sasa hapo si bora huyo mtu aje nimpe connection ya babu wa kwediboma..?haha
 
Kama kuna utumwa wa akili unaoingia watu kwa Kasi siku hizi, basi ni hizi Imani kwa manabii;

✓ Unapofika utapigwa neno
(na Ukweli ni kwamba sio neno la Mungu kwa kumaanisha, Bali ni promo tu), wakimaliza mtaambiwa TOA SADAKA. Halafu utaambiwa nunua maji na mafuta (ambavyo vitakugharimu tena kama Shs 20,000/=).

✓ Mkimaliza hatua hiyo, itakuja pesa ya fomu ya KUONANA NA NABII. Hapa strictly kumuona Nabii binafsi ni Shs 500,000/= (LAKI TANO). Ukilia lia na ukifikiriwa chini ya hapo basi utakutana na Wasaidizi wa Nabii Lakini haitapungua Shs 100,000/=

✓ Ukishamuona AU ukisha Waona, na kuulizwa unafanya kazi gani, utaelezewa tatizo lako (mara nyingi utaambiwa umelogwa). Maombi yake utaambiwa Mungu anataka Shs 1,000,000/= Hadi 5,000,000/=. Hapo utatolewa vitu mwilini na bla blaa za maombi kisha utaambiwa uendelee kuhudhuria pale maana tatizo haliwezi kuisha Kwa siku Moja.

Hivi hapa kuna Mungu kweli Wadanganyika wenzangu?

- Huyu anayejiita Nabii kiboko wa wachawi achunguzwe

Wajinga ndiyo waliwao...Acha wapunwe mapene.
 
Hii inaonesha kwamba kwa ground pengine watu wana matatizo makubwa ambayo YAMEWAFANYA WASIWE NA CHOICE.
Kuna watu wanateseka hii dunia acha kabisa....wanajaribu kila njia iwezekanayo...wewe kama upo salama mshukuru sana MUNGU
 
Ni mjasiria Mali muachane wajinga ndio waliwao
 

Attachments

  • IMG_20240711_070057.jpg
    IMG_20240711_070057.jpg
    2 MB · Views: 7
Back
Top Bottom