R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,178
View attachment 2676602
unasafisha pasi ikiwa na moto mkali
1. Chumvi - mwagia kwenye kitambaa anza kuipasi
2. Chaki - kata kipande, geuza pasi iangalie juu kisha weka kipande, unasafisha kwa kukandamizia chaki kwa kitambaa.
3.majivu ya moto - mwagia kwenye kitambaa anza kuipasi
4. mkaa - kata vipande, mwagia kwenye kitambaa anza kuipasi
5. panadol - hii ina harufu kali sana ziba pua, ziba pua unaposafisha, geuza pasi iangalie juu kisha weka kipande, kandamizia panadol kwa kitambaa.
Naskia kuna mbinu ya kutumia colgate, mwenye kuijua aelekeze
unasafisha pasi ikiwa na moto mkali
1. Chumvi - mwagia kwenye kitambaa anza kuipasi
2. Chaki - kata kipande, geuza pasi iangalie juu kisha weka kipande, unasafisha kwa kukandamizia chaki kwa kitambaa.
3.majivu ya moto - mwagia kwenye kitambaa anza kuipasi
4. mkaa - kata vipande, mwagia kwenye kitambaa anza kuipasi
5. panadol - hii ina harufu kali sana ziba pua, ziba pua unaposafisha, geuza pasi iangalie juu kisha weka kipande, kandamizia panadol kwa kitambaa.
Naskia kuna mbinu ya kutumia colgate, mwenye kuijua aelekeze