Wewe umetumia mbinu ipi?View attachment 2676602
unasafisha pasi ikiwa na moto mkali
1. Chumvi - mwagia kwenye kitambaa anza kuipasi
2. Chaki - kata kipande, geuza pasi iangalie juu kisha weka kipande, unasafisha kwa kukandamizia chaki kwa kitambaa.
3.majivu ya moto - mwagia kwenye kitambaa anza kuipasi
4. mkaa - kata vipande, mwagia kwenye kitambaa anza kuipasi
5. panadol - hii ina harufu kali sana ziba pua, ziba pua unaposafisha, geuza pasi iangalie juu kisha weka kipande, kandamizia panadol kwa kitambaa.
Naskia kuna mbinu ya kutumia colgate, mwenye kuijua aelekeze
Mazoezi yote haya Pasi ikiwa ya Baridi au ya Moto?View attachment 2676602
unasafisha pasi ikiwa na moto mkali
1. Chumvi - mwagia kwenye kitambaa anza kuipasi
2. Chaki - kata kipande, geuza pasi iangalie juu kisha weka kipande, unasafisha kwa kukandamizia chaki kwa kitambaa.
3.majivu ya moto - mwagia kwenye kitambaa anza kuipasi
4. mkaa - kata vipande, mwagia kwenye kitambaa anza kuipasi
5. panadol - hii ina harufu kali sana ziba pua, ziba pua unaposafisha, geuza pasi iangalie juu kisha weka kipande, kandamizia panadol kwa kitambaa.
Naskia kuna mbinu ya kutumia colgate, mwenye kuijua aelekeze
majaribio yote pasi ikiwa ya motoMazoezi yote haya Pasi ikiwa ya Baridi au ya Moto?
Itabidi Asali iwe jirani na Zoezi hilo.majaribio yote pasi ikiwa ya moto