Hizi ndio nyimbo mbovu ila zinabebwa na media

ili kumwwlewa Joh lazma uwe wa type zake sasa kama we ni type za Best Naso Joh utamwelewa vp
Acha ushabiki wa kishamba,mimi namfahamu Joh tangu album yake ya kwanza ,hakuna nyimbo mbovu alowahi kuitoa kama WAYA
 
ungekua mbovu usingekua namba 5 kwene Eatv top 10
 
Plus. Wimbo wa Neyo na Diamond. Mary you.
Ni mbaya sana. Unapumulia kiki
 
Mkuu wimbo mzuri haihitaji uisikilize mara mbili,tatu,nne,tano.......,wimbo mzuri utaupenda ndani ya dakika moja tu.kana unauelewa wimbo hadi usikilize mala mbili mbili basi wewe hujui muziki mzuri bali unaangalia upepo
We ni msikilizaji mkuu
Wewe si shabiki mzuri wala mfuatiliaji wa mziki mzuri
Siku ukijua nlichomaanisha basi utapunguza kukurupuka....
 
Imba za kwako na ww ubebwe
 
Hizi nyimbo hapa chini sijawahi kuzipenda,na kila nikijilazimisha kuzipenda bado moyo unagoma.

1.Aje =kiba
2.Muziki = Darasa.
3.Kajiandae = Dimpoz,kiba.
4.Hela =Madee.
5.Moyo mashine =Ben Pol.
6.Dume suruali = F.A.
Hata mm sijawah na sitokaa nizipenda maana sion uzur wake
 
Mapovu yanakutoka hahahaaaaa aaaaahhhhh atakuwa sallam nn yebaaa mashetan yamepanda hawataweza
 
Uwezo wake wa kutunga umeishia hapo hata ule wa moyo mashine mashairi mepesi sana ben ni kuimba tu ila utunzi hapana kwakweli
 
 

Attachments

Wabongo kwa kulazimisha mambo.... Kitu usichokipenda ww yule anakipenda iko hivyoo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…