Hizi ndio nyimbo mbovu ila zinabebwa na media

Kwa me kupenda nyimbo mpk niisikilizee zaid ya mara 3 ndo nailewa na kwenye hiyoo list ya nyimbo zako mbaya hakuna nyimbo mbaya nyimbo mbay ni kina
Best naso
Chief maker na
Wengnee ambao ad beat tu ni demoo yaan mbaya nao ni kwa sababu hawana usimamizi mzurii
 
Ushazoea singeli marry me wap na wap
Yaani siku ile ulivyo nikuta na cheza na mama yako ukajua ndo nyimbo za ngu mkuu .Hapana mimi sipendi singeli ila mama yako ndo aliniomba nimpe campny
 
Kwa upande wangu nyimbo current nazozikubali:-
Kudu
Vuma
Little Town bagamoyo
Moyo sukuma damu
 
Kijusu hamna kitu yaani nilishindwa kuvumilia kumaliza kuusiliza hadi mwisho huu wimbo
 
nyimbo mpya ya madee sijaielewa kabisa nahisi ndo nyimbo mbovu kwangu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kama Hakuna Marry u ya Dimond basi hiyo list ni batili
 
kama hujaielewa hata waya ambayo legendary wa hiphop (fid q) ameusifia basi endelea kusikiliza singel
Ameusifia Basi Tu Ila Moyoni Anajua Akisikiliza Roho Au Sumu Na Hiyo Waya Wala Haiingii Akilini.
 
1)mwana mkiwa -k sal ft ferooz

2)jambo squad ,mbulula

3)kinyuli nyuli -samir

4)snura- majanga

5)Y Tony-Masebene

6)mirror-one and only

7)Tanzanite -uchawi na wanga

8)watanashati- watasubiri
 
1)mwana mkiwa -k sal ft ferooz

2)jambo squad ,mbulula

3)kinyuli nyuli -samir

4)snura- majanga

5)Y Tony-Masebene

6)mirror-one and only

7)Tanzanite -uchawi na wanga

8)watanashati- watasubiri
Haaha nimecheka tu huyo Tanzanite sijui kafia wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…