mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Sisi rate ni kubwa sema hatujapimaanaHao Marekani na Kenya na wengine waliojifungia ndani mbona rate ya maambukizi ndio inazidi kuongezeka?? US walivyoanza kujifungia zilikuwa cases chache sana, sasa hivi wako half a million na bado wameongeza mwezi zaidi
Ndio maana tunaambiwa hao saba wa Jana plus marehemu wawili hawajulikani ugonjwa wameuchotea wapi je ni kariakoo au ubungo au mbagala au chanika