Wahutu aka wanyarwanda. Ndio maana jamaa yake ka lockdown nchi yake ili baada ya janga hili waingie nchi ya ahadi baada ya wayebusi(wadanganyika) wote kuteketea na corona. Uoni jamaa kaenda kujificha karibu na kitovu cha nchi ya wahutu aka wanyarwanda?.Nchi zinazojali raia wake zimetoa kipaumbele kwa uhai wa raia kuliko mapato ya nchi. Raia ndiyo uchumi wenyewe. Ukipoteza raia STandard gauge unamjengea nani?
Just wash your dirty mouth?Au unafikir huu ugonjwa upo tz tu ambao wao ni wachapa kazi kuliko wanaotusaidia huko ughaibuni.Utumboutumbo huu ukipewa posho nawe unajiona mchapakazi?Anyway kumbe ni Bashite ambaye hujui hata unavyoenezwa.Alafu Bashite sijui umempa nn jiwe,yaan umemshika kwelikweli kwa ufupi wew unamcontrol huwez amin maneno uliyoongea kuhusu kagonjwa naye kasema hvyhvy kanisani.Huyo witch dk sijui ulimtoa wapiMipumbavu isiyo na ishu za kufanya wanaitamani sana hiyo lockdown..
Hakuna mwenye shughuli muhimu ya kumuingizia pesa akataka huo ujinga, Rais ana real informations kutoka kwenye mamlaka zake mbali mbali so mpaka anasema hayo atakuwa anaujua ukweli halisi..
Mi sijui cha afadhali kuliko yule,hayo ya kwako!Ninachosema yeye anatwambia tupige kazi wakati yeye kaenda vacation tena wakati huu wa Corona,shame!Afadhali ya yeye kaenda kula Pasaka kwao kuliko yule mtalii aliyeisusa nchi yake. Jamaa kila kukicha alikuwa anacheza bao angani tu huku nchi ikiendeshwa na wapuuzi yeye hana hili wala lile.
Yupo Chato kufanya kazi za kitumishiMmmmh,mbona yeye kajificha chato na kuikacha ikulu?
Barakoa moja isivaliwe zaidi ya masaa manneSisi wauza vyakula tunaendelea kupiga kazi, tunahimizwa tu kuvaa barakoa.
Kwa hivo sisi tufe ili majirani waishi...Hizi ndio baadhi ya sababu alizotaja Bwana mkubwa za kutofunga mipaka/kuwa na lockdown
1.Ambulance zitashindwa kusafirisha wagonjwa
2.Ujenzi wa SGD utakwama
3.Ujenzi wa Stieglers Gorge utakwama
4.Mizigo haitasafirishwa kupitia bandari ya Dar-es-salaam na hivyo tutakosa mapato
5.Nchi zinazotuzunguka na zinazotegemea bandari yetu kusafirisha mizigo zitaathirika na kwamba tungewaua kama tungefunga mipaka.
6.Vifaa vya kutengeneza mabarabara visingesafirishwa
Hayo ni baadhi niliyoyakumbuka baada ya kumsikia akiongea kupitia TBC1 katika kipindi cha "JAMBO" asubuhi hii na kasisitiza watu wachape kazi na corona isitumike kama kisingizio ila akasisitiza tuchukue tahadhari.
Sasa sijui ni kwanini ile Press realease haijataja baadhi ya haya aliyoyatamka.
Akili ya kuelewa ulivyoelewa wanayo wachache sana.1. Anataka corona ifike October uchaguzi usiwepo.
Hofu ya jiwe ni uchaguzi, corona anaiona kama neema kwake.
Mi sijui cha afadhali kuliko yule,hayo ya kwako!Ninachosema yeye anatwambia tupige kazi wakati yeye kaenda vacation tena wakati huu wa Corona,shame!
Nikiangalia kwenye tv jinsi mataifa mengine wanavyokukufa,inasikitisha sana tuchukue kila aina ya tahadhariHizi ndio baadhi ya sababu alizotaja Bwana mkubwa za kutofunga mipaka/kuwa na lockdown
1.Ambulance zitashindwa kusafirisha wagonjwa
2.Ujenzi wa SGD utakwama
3.Ujenzi wa Stieglers Gorge utakwama
4.Mizigo haitasafirishwa kupitia bandari ya Dar-es-salaam na hivyo tutakosa mapato
5.Nchi zinazotuzunguka na zinazotegemea bandari yetu kusafirisha mizigo zitaathirika na kwamba tungewaua kama tungefunga mipaka.
6.Vifaa vya kutengeneza mabarabara visingesafirishwa
Hayo ni baadhi niliyoyakumbuka baada ya kumsikia akiongea kupitia TBC1 katika kipindi cha "JAMBO" asubuhi hii na kasisitiza watu wachape kazi na kwamba corona isitumike kama kisingizio ila akasisitiza tuchukue tahadhari.
Sasa sijui ni kwanini ile Press release haijataja baadhi ya haya aliyoyatamka.
Rais wa ajabu kweli kweli,anaenda likizo wakati watanzania wanateketea!!!!shameKwani ni dhambi yeye kuwa likizoni tena kijijini kwake?
Waache waendelee kuhamisha magoli!'Wataalam' wameongeza wanasema wiki mbili zijazo tutaanza kufa kama kuku.
Hao Marekani na Kenya na wengine waliojifungia ndani mbona rate ya maambukizi ndio inazidi kuongezeka?? US walivyoanza kujifungia zilikuwa cases chache sana, sasa hivi wako half a million na bado wameongeza mwezi zaidi