HahahaMkuu huyu jamaa wa sexy leady hapo juu ametisha,semantic sexy leady haiji kabisa
Mwisho kabisa tuheshimu maamuzi ya mtu.Rotimi akimtema arudi sasa unga limited
Anajua, Sema Hao wakina na ndy wanaimba lugha za ajabu ajabu kitu ambch wabongo wanapendaMuziki wa Vanessa ni kama wa jamaa anajiita Wakazi, sijawahi kuwaelewa
Nawe una matatizo yakoSijawahi kumuelewa Vanessa.
Kumbe yule binti ni mkongwe eeh?!Hayo mawazo yako wewe. Lakini Vanesaa kaanza kuuchezea ukuni tangu enzi za Mzee Ruksa, we unafikiri kigoli yule?
Acha negativity mzeeameona kuuza unga kunalipa zaidi
Nadhani muziki haukuweza kusupport maisha au anasa alizokuwa anapendelea kufanya. Kwa hyo kwa mtu mwingine akipata pesa anazopata V anaweza akaziona nyingi sanaKama Msanii kama Vanessa anasema muziki haumlipi... Vipi kuhusu wasanii wengine ambao tunaona kimafanikio huenda wasimfikie vanessa kwa sasa?