Hizi ndio sababu za Vanessa Mdee kuacha rasmi muziki

Hizi ndio sababu za Vanessa Mdee kuacha rasmi muziki

Mume au bwana bora ni yule anayekufanya uone unachokifanya ni muhumu. Yani anaongeza kitu kwenye kile unachokifanya. Sasa mume anakufanya unaona hata kaz yako haina maana

sikiliza watu wanaoishi nje huwa wanaamini sana na kukubali mawazo ya mtu hawalazimishi
Wako so positive sana
 

Attachments

  • 992A9AB2-F7DC-4B76-AC4F-8702FD28B0D8.png
    992A9AB2-F7DC-4B76-AC4F-8702FD28B0D8.png
    72.3 KB · Views: 2
Darmian kuna wanaume wanatreat vizuri sana wanawake hata kama hawawapendi au wanajua huyu sitamuoa au kuwa nae muda mrefu sasa ni rahisi kuwapenda na kuwaamin
Ni kweli..Mimi nimejaribu tu kumuonea huruma vee pale watakapo achana..Je ataendelea kubaki USA? au atarudi bongo??,,Muziki kaacha ata ile socialite power itakuwa imepungua
 
Aina ya mziki anaoimba watoto wa uswazi wameshindwa kuuelewa

Una hoja ya msingi sanaa mkuu, watoto wa uswazi wamezoea nyegee nyegeziii, mwanaume mashineeeee......
 
Rotim anaonekana katulia mbona na anamtreat vizuri vanessa mpaka kaamua kuweka public si mchezo angeficha ficha akala akasepa
Hiyo kuonesha onesha anataka kumuumiza jux,

Huyo rotimi mbona hata huwa hamkiss asee, hadi aibu!

Dada anajitahidi kutoa ulimi mrefu kama kinyonga ndo kwanza jamaa, kama anasikia kinyaa, we cheki clip zao utamuonea huruma vee...

Huyo mpopo kuna vihela anavila hapo vya bidada vikiisha anasepa kama spicy music wa dada ndi ndi ndi
 
Ni mitano ya wasanii karibu wote
Baada ya kelele nyingi za mashabiki wa msanii Vanessa Mdee V Money kwa nini amekaa kimya kwa muda mrefu hatimaye atangaza kuacha muziki akitoa sababu zifuatazo.

Akizungumza kwenye podcast yake amesema.


1. Muziki umekuwa haumlipi kwa muda wote ambao ameufanya.
2. Muziki ulimletea msongo wa mawazo yani depression na anxiety mpaka kufikia kunusulika kufa.
3. Muziki ulimuingiza kwenye ulevi uliopitilia wa kulewa kwa masaa 24 kwa mwaka mzima 2019.
4. Hakuwa na maelewano mazuri na mama yake kwa kuwa hakuwa akipenda V afanye muzki.
5. Muziki ulifanya aishi maisha ya kuigiza na kufurahisha mashabiki uku deep down akijua anaishi maisha yaliyo juu ya uwezo wake.

Hizi ndio sababu zilizofanya aache muziki na kuweka maisha yake kwa Rotimi ambaye anasema kamrudisha kwenye maisha na kazaliwa upya baada ya kukutana nae.

Zile tetesi kwamba V money kamkimbia Zuchu si za kweli kwa maana hii.
Wasanii karibu wote wa Tz wako ktk kundi lake.
 
Back
Top Bottom