Umekulia wapi? Na unaishi wapi?Muziki wa Vanessa ni kama wa jamaa anajiita Wakazi, sijawahi kuwaelewa
Ikitokea ameachika atarudi tena kwenye muzikiMmmmhhh kanogewa tu na Rotimi
Zuchu amesha kaa kwenye namba yakeJaman tutamiss the only female icon
[emoji1][emoji24]
wana'fake' sana maisha wasanii, mwisho wa siku wanaangukia kwenye utejaKama Msanii kama Vanessa anasema muziki haumlipi... Vipi kuhusu wasanii wengine ambao tunaona kimafanikio huenda wasimfikie vanessa kwa sasa?
Na mimi hivyo hivyo aiseeSijawahi kumuelewa Vanessa.
HahaaaHayo mawazo yako wewe. Lakini Vanesaa kaanza kuuchezea ukuni tangu enzi za Mzee Ruksa, we unafikiri kigoli yule?
Huyo mpopo atampiga matukio time will tell..Go veve..good vere mwenye mahaba yake.
Rotimiiiiii na timiliooooo
Hivi anamuamini huyo mvuta shisha? Vee bana[emoji16]Vee kazingua. Baada ya Rotimi kumtambulisha Marekani. Angekaza muziki aingie kwenye afro dance hall atafute colabo na wiz kid, davido, Tiwa etc. Wamarekani weusi wanapenda muziki wa afrika. Sasa yeye anataka kuchezea dushe tu. Zero brain
eeh inawezekana ikawa si kweli?Hivi anamuamini huyo mvuta shisha? Vee bana[emoji16]
Ikitokea ameachika atarudi tena kwenye muziki
Alifanya tour yeye na jux ya kwao binafsi na sponsor walipata.Kama Msanii kama Vanessa anasema muziki haumlipi... Vipi kuhusu wasanii wengine ambao tunaona kimafanikio huenda wasimfikie vanessa kwa sasa?
Wewe rotim ni mhun mhuni tuu mtoto wa lagos na los angeles siku akimuacha ndio utaelewaunajua namuelewa Vanessa yaan unaweza ukawa ushapitia mahusianona wanaume kadhaa wa kadhaa. Lakin ukakutana na mmoja yaan ni the best yaan mwanaume anakupa raha utafikiri kazaliwa kwaajili yako yaan unasahau shida ,kero ,stress zinaishaa
Kuna wanaume wanakubadilisha kabisa so namuelewa Vannesa
i
Wewe rotim ni mhun mhuni tuu mtoto wa lagos na los angeles siku akimuacha ndio utaelewa