Rotim anaonekana katulia mbona na anamtreat vizuri vanessa mpaka kaamua kuweka public si mchezo angeficha ficha akala akasepa
Sure baharia ni baharia tu...Wewe rotim ni mhun mhuni tuu mtoto wa lagos na los angeles siku akimuacha ndio utaelewa
Mume au bwana bora ni yule anayekufanya uone unachokifanya ni muhumu. Yani anaongeza kitu kwenye kile unachokifanya. Sasa mume anakufanya unaona hata kaz yako haina maana
Pale unapojaribu kuflex huku kimombo ni cha ugogo..Vanessa yuko vizuri sex leady
Vanessa ana sound kama ana uhakika 100pc wa kuwa na Rotimi milele...Rotim anaonekana katulia mbona na anamtreat vizuri vanessa mpaka kaamua kuweka public si mchezo angeficha ficha akala akasepa
Vanessa ana sound kama ana uhakika 100pc wa kuwa na Rotimi milele...
Good for her..Na wewe ushakutana na Mwanaume kama huyo??yes kwa sababu nadhan hajawahi pata mwanaume anayemhandle kama Rotim ndio maana anafikiria hivyo
Ni kweli..Mimi nimejaribu tu kumuonea huruma vee pale watakapo achana..Je ataendelea kubaki USA? au atarudi bongo??,,Muziki kaacha ata ile socialite power itakuwa imepunguaDarmian kuna wanaume wanatreat vizuri sana wanawake hata kama hawawapendi au wanajua huyu sitamuoa au kuwa nae muda mrefu sasa ni rahisi kuwapenda na kuwaamin
Aina ya mziki anaoimba watoto wa uswazi wameshindwa kuuelewa
Good for her..Na wewe ushakutana na Mwanaume kama huyo??
Hiyo kuonesha onesha anataka kumuumiza jux,Rotim anaonekana katulia mbona na anamtreat vizuri vanessa mpaka kaamua kuweka public si mchezo angeficha ficha akala akasepa
Janja janja sana jamaa[emoji16]
Shisha umeiona au nayo haina shida Dina?yes kwa sababu nadhan hajawahi pata mwanaume anayemhandle kama Rotim ndio maana anafikiria hivyo
Wasanii karibu wote wa Tz wako ktk kundi lake.Baada ya kelele nyingi za mashabiki wa msanii Vanessa Mdee V Money kwa nini amekaa kimya kwa muda mrefu hatimaye atangaza kuacha muziki akitoa sababu zifuatazo.
Akizungumza kwenye podcast yake amesema.
1. Muziki umekuwa haumlipi kwa muda wote ambao ameufanya.
2. Muziki ulimletea msongo wa mawazo yani depression na anxiety mpaka kufikia kunusulika kufa.
3. Muziki ulimuingiza kwenye ulevi uliopitilia wa kulewa kwa masaa 24 kwa mwaka mzima 2019.
4. Hakuwa na maelewano mazuri na mama yake kwa kuwa hakuwa akipenda V afanye muzki.
5. Muziki ulifanya aishi maisha ya kuigiza na kufurahisha mashabiki uku deep down akijua anaishi maisha yaliyo juu ya uwezo wake.
Hizi ndio sababu zilizofanya aache muziki na kuweka maisha yake kwa Rotimi ambaye anasema kamrudisha kwenye maisha na kazaliwa upya baada ya kukutana nae.
Zile tetesi kwamba V money kamkimbia Zuchu si za kweli kwa maana hii.
Mimi pia sijawahi muelewa huyu dada...Sijawahi kumuelewa Vanessa.
Mziki anaoimba tulishamsikia beyonce na rihana wakiimba...Aina ya mziki anaoimba watoto wa uswazi wameshindwa kuuelewa