Hizi ndio sababu za Vanessa Mdee kuacha rasmi muziki

Hivi mzee Spicy alikula akasepa?
 
Sina tatizo na yeye kuacha mziki, wasiwasi wangu ni kusema mchizi kamtoa shimoni ambapo alikuwa anahamngamia.

Kwasasa tayari mwamba ameshajua udhaifu wa bibie, kwamba katokea kwenye dhiki, kapitia majaribu na shida nyingi kwenye mziki wake usiompa faida.

Kwa jinsi wanaume wa Kiafrika tulivyo, huwa tunatumia udhaifu kama huo kunyanyasa wanawake.

Sasa Mchizi akimkataa mbeleni bibie atakwenda wapi? Atafanya nini?
 

Sijui atauweka wapi uso wake siku akija kuachwa na huyo jamaa anaemsifia.
 
Kanogewa na Mb0..0 ya Marekani ndo imemuachisha muziki hasilete visingizio vingine
 
Lazima abugie chlolokwini za kushiba
 
KILA MTU AACHE MAMBO YA KIPUUZI KAMA MIZIKI
 
Huyu anawahadaa tyuuh mashabiki ili wawe wapole, yeye aendelee kwan kula pause na Rotimiii, ila hawezi kamwe kuacha mziki.
 
Sio kwamba Jux aliachwa na Vanesa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…