Hizi ndio sababu za Vanessa Mdee kuacha rasmi muziki

Hizi ndio sababu za Vanessa Mdee kuacha rasmi muziki

Write your reply...Binafsi nilikua namuelewa v money ila video zake ndo sijawahi zipenda
 
unajua mziki ni kama bangi ukisema naacha mazima ipo siku tu utarudia tu
 
Duuh imegoma kufunguka...

Duuh Dina ukimpenda mtu bana

Nakataa hajichubui jamani
IMG_3158.JPG

Mwangalie baba yaje na yeye akiwa mdogo walivyo weupee
 
kweli wasanii wanapata tabu maana wanalazimika kuishi maisha ya k'star hata kama hana kitu mfukoni.
 
Ni kweli..Mimi nimejaribu tu kumuonea huruma vee pale watakapo achana..Je ataendelea kubaki USA? au atarudi bongo??,,Muziki kaacha ata ile socialite power itakuwa imepungua
Wa naija ni wahuni aangalie asije ishia jela
 
Hiyo kuonesha onesha anataka kumuumiza jux,

Huyo rotimi mbona hata huwa hamkiss asee, hadi aibu!

Dada anajitahidi kutoa ulimi mrefu kama kinyonga ndo kwanza jamaa, kama anasikia kinyaa, we cheki clip zao utamuonea huruma vee...

Huyo mpopo kuna vihela anavila hapo vya bidada vikiisha anasepa kama spicy music wa dada ndi ndi ndi
[emoji23][emoji23]
 
Papuchi inalipa sana, awe tu na uhakika wa kudumu alipojiweka.... atuachie sisi kina Wolper hadi usiku utapokwisha.!
 
Back
Top Bottom