Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh imegoma kufunguka...Diana baba yake Rotim ni mweupe balaaa
We humpendi tu Rotim akii
Huyo baba ake na rotim sema wanajichubua sasa
Kumbe wataalamu mpo! Kwann usiimbe ww sasa?Vee kazingua. Baada ya Rotimi kumtambulisha Marekani. Angekaza muziki aingie kwenye afro dance hall atafute colabo na wiz kid, davido, Tiwa etc. Wamarekani weusi wanapenda muziki wa afrika. Sasa yeye anataka kuchezea dushe tu. Zero brain
Duuh imegoma kufunguka...
Duuh Dina ukimpenda mtu bana
Sasa hawa ndo ukishazama vizuri wanakupiga tukio moja matata. Mapenzi bwanaDarmian kuna wanaume wanatreat vizuri sana wanawake hata kama hawawapendi au wanajua huyu sitamuoa au kuwa nae muda mrefu sasa ni rahisi kuwapenda na kuwaamin
Sasa hawa ndo ukishazama vizuri wanakupiga tukio moja matata. Mapenzi bwana
Sent from my SM-A605F using JamiiForums mobile app
Na akiwa real aisee. Dunia yote unaiona yako. Hamna raha kama kupendwa unapopenda. Hata ukikosa chakula unaona poa tu.ni kweli lakin wengine wanakuwa realy
Na akiwa real aisee. Dunia yote unaiona yako. Hamna raha kama kupendwa unapopenda. Hata ukikosa chakula unaona poa tu.
Sent from my SM-A605F using JamiiForums mobile app
Wa naija ni wahuni aangalie asije ishia jelaNi kweli..Mimi nimejaribu tu kumuonea huruma vee pale watakapo achana..Je ataendelea kubaki USA? au atarudi bongo??,,Muziki kaacha ata ile socialite power itakuwa imepungua
[emoji23][emoji23]Hiyo kuonesha onesha anataka kumuumiza jux,
Huyo rotimi mbona hata huwa hamkiss asee, hadi aibu!
Dada anajitahidi kutoa ulimi mrefu kama kinyonga ndo kwanza jamaa, kama anasikia kinyaa, we cheki clip zao utamuonea huruma vee...
Huyo mpopo kuna vihela anavila hapo vya bidada vikiisha anasepa kama spicy music wa dada ndi ndi ndi
Wa naija ni wahuni aangalie asije ishia jela
Sure nimeona case nyingi za watu wakilizwa hivi hivi. Awe makiniWale sio watu wa kuwaamini
yule mdogo wake namuelewaga kinomaVanessa anatumia nguvu nyingi sana kujiaminisha kuwa kafika kwa mwamba, binafsi hadi kaniharibia kwa mdogo wake anaona wabongo si lolote!