Whitepanther
JF-Expert Member
- Sep 27, 2021
- 289
- 458
Acha kunyegeshaKiuno nyigu? Kwahiyo sisi wenye vitambi inakuwaje hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kunyegeshaKiuno nyigu? Kwahiyo sisi wenye vitambi inakuwaje hapo?
Wameku'release lini?Mkuu hiyo Avatar inanikumbusha mtu fulani daah..
Na ujumbe uwafikie bado watoto hawa..😂Waambieeee. Deep eye contact for beloved ones ni habari nyingine.
Dah! Ndugu sina maana jicho lile jicho lenu nimesema macho ya usoni aisee..😂Kumnyonya jicho sio?
Ukiacha kuweka gari mafuta utatoka nayo vipi?Acha kunyegesha
hahahhahaaYaani saa nane hii umekaa, umeona uje na ili bandiko,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waambieeee. Deep eye contact for beloved ones ni habari nyingine.
😄😄 Asante kwa ufafanuzi mkuu.Dah! Ndugu sina maana jicho lile jicho lenu nimesema macho ya usoni aisee..😂
Today 😔Wameku'release lini? .
Someone. Imenifanya nikumbuke mbaliNani tena huyo?
😄😄 Mwisho wa mwezi nikiwa nimepokea salary nitajaribu kufanya hivyo mkuu.Haki vile, we mwangalie sanaaa na manjonjo kidogo utaleta mrejesho...
Komesha vitambi si ipoo😅😅😂Kiuno nyigu? Kwahiyo sisi wenye vitambi inakuwaje hapo?
unyao wanini broo?Shingo, masikio, unyayo, mbavu , kinena penye kuota mavuzi mikuno yake
Don't you know weekend starts on Thursday? 😁😁Kwani sahivi ni
saa ngapi?
Tarehe ngapi
Siki gani
Samia anayo kazi
ebu ongeza sauti kidogo kwamba!Haki vile, we mwangalie sanaaa na manjonjo kidogo utaleta mrejesho...
Nakusubiria chumba cha falagaDon't you know weekend starts on Thursday? [emoji16][emoji16]