Hizi ndio Sifa ambazo viongozi wakuu wa nchi huzizingatia wakati wa kuteua viongozi

Hizi ndio Sifa ambazo viongozi wakuu wa nchi huzizingatia wakati wa kuteua viongozi

Biblia siyo gazeti kijana, unahitaji spiritual divine kuelewa maana ya unachosoma..atizamavyo binadamu si kama atizamavyo Mungu..hizo zilikuwa sifa alizotaja Nebukadreza, vijana hawa wanne wa kiebrania wala hawakutoka familia za kifalme km ulivyoandika, ktk kila hatua ya maisha yetu huwa lipo kusudi la Mungu, vijana hawa pamoja na kukosa sifa mojawapo alizotaja mfalme. Mungu aliwapitisha hatua hii ili watumikie kusudi lake..sisi binadam tuna mapungufu mengi kwny process za kupata viongoz na hatujali wala kujua kusudi la Mungu ni niniL, tunavuruga vuruga tu ili kujifurahisha sisi kwa sisi, ndio maana leo ni kama tumefanya vizuri kwenye ajenda ya maendeleo na kesho tu narudi hatua mbili nyuma tena zaid hata ya pale tulikuwa mwanzo.
 
Biblia siyo gazeti kijana, unahitaji spiritual divine kuelewa maana ya unachosoma..atizamavyo binadamu si kama atizamavyo Mungu..hizo zilikuwa sifa alizotaja Nebukadreza, vijana hawa wanne wa kiebrania wala hawakutoka familia za kifalme km ulivyoandika, ktk kila hatua ya maisha yetu huwa lipo kusudi la Mungu, vijana hawa pamoja na kukosa sifa mojawapo alizotaja mfalme. Mungu aliwapitisha hatua hii ili watumikie kusudi lake..sisi binadam tuna mapungufu mengi kwny process za kupata viongoz na hatujali wala kujua kusudi la Mungu ni niniL, tunavuruga vuruga tu ili kujifurahisha sisi kwa sisi, ndio maana leo ni kama tumefanya vizuri kwenye ajenda ya maendeleo na kesho tu narudi hatua mbili nyuma tena zaid hata ya pale tulikuwa mwanzo.
pengine kuna sehemu ambayo hujanielewa mkuu. Nimeeleza kila kitu nimeweka wazi. Nimekutajia hadi sifa ambazo zinaangaliwa bado unazipinga sasa naomba nitajie sifa ambazo wewe unaweza kuziangalia unapo taka kuajiri wafanyakazi kwenye kampuni yako.

Nitajie sifa tatu. Zinatosha
 
pengine kuna sehemu ambayo hujanielewa mkuu. Nimeeleza kila kitu nimeweka wazi. Nimekutajia hadi sifa ambazo zinaangaliwa bado unazipinga sasa naomba nitajie sifa ambazo wewe unaweza kuziangalia unapo taka kuajiri wafanyakazi kwenye kampuni yako.

Nitajie sifa tatu. Zinatosha
1. Discipline
2.Discipline
3.Discipline
 
Zanzimana yeye hazingatii sifa yoyote kwenye kuteua zaidi ya ukabila , udini na inategemea siku hiyo ameamkaje Zanzimana .
 
HATA KIKWETE NA MWINYI WALITUMIA HII??
Mtu yeyote huwa anatumia kanuni hizo hizo. Chukulia mfano wewe ndio meneja unaajiri unadhani utatumia vigezo gani kuajiri mkuu. Au umesha ajiri tayari unataka sasa kuteua wakuu wa vitengo mbalimbali kwenye department utatumia vigezo gani wewe unadhani.
 
Mimi nadhani sifa zote za kwenye katiba zinabebwa na hizi sifa. Au wewe unafikiriaje?
Kusudi "sifa zote za kwenye katiba" ziwe "zinabebwa na hizi sifa" ulizozitaja hapo juu. Lakini hujaonyesha correspondence iliyopo kati ya vigezo vilivyoko ktk Biblia na vigezo vilivyoko ktk Katiba ba miongozo ya nchi yetu. Unaweza kufanya hivyo?
 
Back
Top Bottom