jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuainishie na viwango Basi kwa ajili ya urahisi wa ulinganifu na urahisi wa rejea.Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Sawa, average salary ni ngapartisan
829kSawa, average salary ni ngap
Wengi wao hapo kwa sasa wanatumia TGS, kwahiyo unaweza ku google viwango vya TGS vinaanzia ngapi hadi ngapi. Lakini ukikuta wanatumia mfumo wao wa mishahara, hapo utakuwa umelamba Dume (kwenye karata).
Sio mbaya , kumbe.. Hapo bado malupulupu829k
6. Mamlaka ya chakula na dawa
11. MSD
Umtafute pole pole mweleze kero yako.Napamezea mate sana, koneksheni ndio mchawi mkubwa
Hahahahaaa, yeye mwenyewe haamini kwa hali aliyonayo kwa sasa
Vipi kuhusu TBS na COSTECHHakuna hata moja inayolipa vyema. Mshahara wa Afisa katika Taasisi zote hizo ni chini ya 1.7 bila makato. Ukiweka makato mpokeaji anapokea kati ya 1Mil To 800K inategemea kama alikopa Bodi.
Nadhani ulipaswa kusema Taasisi zenye mianya ya kupiga pesa kwa njia ya udokozi bila kudakwa kwa kipindi kirefu.
Na sio zote katika hizo. Ni chache kama vile tume ya madini, Ngorongoro, TPA, Takukuru MSD, GPSA, TRA.
Mk54
Umesahau TBC Taifa & TBC 1Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Vip Vyuo vikuu kama Sua, Mzumbe, Udsm, Udom n.K kwa ajira za wasiokuwa walimu malipo yakoje kwa degree, diplima holderWakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
6 ndio mpango. Hapo pengine njaa tu tangu waende wale wanajeshi.Napamezea mate sana, koneksheni ndio mchawi mkubwa