Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

naungaa na wewe mkuu, sisi hatuna exposure...
ndio maana hata mavyuoni wadhiri wakipewa teuzi au nafasi za utendaji serikalin wanapagawa hata taaluma zao wanaweka pembeni.
Prof Kabudi, ashawahi kusema nakushukuru JPm kwa kunitoa jalalani....coz he was lack exposure
 
mkuu upo sahii...
serikal kuu tgs e inaanza 910k, ukikatwa unabk na 700k na bod kama unayo unabak na 560k
nichk pm
 
Kuna mtu yupo serikalin, ana degree ya sheria UDSM. Aliingia serikalin 2010 hivi, 2014 alikuwa analipwa 2.6m. Nasema hivi sababu mpaka salary slip zake ninazo.
huyu ni Assistant Lect
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…