Do your research vinginevyo Endelea kuiabudu TRA tu mkuu-kwani TRA hizo Posho hazipo? Au tuseme hizo Posho ziko kwenye taasisi nyingine lakini sio TRA?
- Jiulize kwa nini interview ya TRA huwa inakuwa na watu wengi pengine kuliko taasisi nyingine yoyote ya serikali?
-nijionee Hali halisi kwamba Watumishi wa TRA Wana maisha magumu au?
- hebu taja hizo taasisi zenye Posho kufuru? Ziorodheshe watu wazijue
Unapoteza muda wako bure kubishana na job seekerDo your research vinginevyo Endelea kuiabudu TRA tu mkuu
- ww ndio ulitakiwa ulete majibu otherwise huna contentDo your research vinginevyo Endelea kuiabudu TRA tu mkuu
Ndio kilete kijambazi hicho- ww ndio ulitakiwa ulete majibu otherwise huna content
Namshangaa mwamba anavyoisujudu TRA wakati kuna Watumishi wana mishahara midogo ila maposho yako mengi na juu kuliko mshahara wenyewe yaani hata mshahara hafikiriiMjomba unaonekana unaisujudu sana TRA Mungu akusaidie uingie ujionee hali halisi maana sijui huwa unaiona kama mbingu
Yani tangu mwaka jana huwa nakuona ubishani wako ni huu huu kila taasisi watu wanazotaja huwa unazilinganisha na TRA tu
Lakini kwa taarifa yako tu ni kwamba kuna watu wako kwenye Taasisi za umma na mishahara yao inaonekana midogo tu lakini posho zao ni kufuru kuliko TRA na ukumbuke mishahara ina makato ila posho hazina makato
Niliwahi kukutana na jamaa wa NAOT, akaniambia mshahara wake ni mdogo tu kama laki 7.6 hivi,ila hizo posho usipime coz wao kuanzia mwezi wa 7 hadi wa 12 huwa wako field na kila siku wanapewa posho ya laki na 20..kwa kweli nilibaki mdomo wazi.Namshangaa mwamba anavyoisujudu TRA wakati kuna Watumishi wana mishahara midogo ila maposho yako mengi na juu kuliko mshahara wenyewe yaani hata mshahara hafikirii
Kiongozi etyy training za tra ngazi za Officer wanalipaje?-kwani TRA hizo Posho hazipo? Au tuseme hizo Posho ziko kwenye taasisi nyingine lakini sio TRA?
- Jiulize kwa nini interview ya TRA huwa inakuwa na watu wengi pengine kuliko taasisi nyingine yoyote ya serikali?
-nijionee Hali halisi kwamba Watumishi wa TRA Wana maisha magumu au?
- hebu taja hizo taasisi zenye Posho kufuru? Ziorodheshe watu wazijue
TISS huenda ndio wanaongoza kati ya wote hapo..Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Walimu ,wakufunzi na wataalamu wengine mnaitwa huku mtaje salary zenuWadau mbona kwenye hivi vyuo vikuu vya umma sioni mnavizungumzia kama viko na vishahara minono au huko ni normal tu japo ku a wasomi wenye GPA imara..!!
Mfano UDSM wako na hizi PUSS 2, PUSS 4 n.k
WCF nasikia ni noma.TBS
OSHA
EWURA
NEMC
WFC
Wapi wana mshahara mkubwa na maslahi kwa junior officer mwenye bachelor degree?
Huko ndio kutamuNiliwahi kukutana na jamaa wa NAOT, akaniambia mshahara wake ni mdogo tu kama laki 7.6 hivi,ila hizo posho usipime coz wao kuanzia mwezi wa 7 hadi wa 12 huwa wako field na kila siku wanapewa posho ya laki na 20..kwa kweli nilibaki mdomo wazi.
Hv mkuu ulikuwa wapi siku Zote.. yaan una-quote comment ya miezi 5 iliyopita🤔🤔🤔Walimu ,wakufunzi na wataalamu wengine mnaitwa huku mtaje salary zenu
Uzi haujafa,vipi ulipata majibu?Hv mkuu ulikuwa wapi siku Zote.. yaan una-quote comment ya miezi 5 iliyopita🤔🤔🤔
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Niliwahi kukutana na jamaa wa NAOT, akaniambia mshahara wake ni mdogo tu kama laki 7.6 hivi,ila hizo posho usipime coz wao kuanzia mwezi wa 7 hadi wa 12 huwa wako field na kila siku wanapewa posho ya laki na 20..kwa kweli nilibaki mdomo wazi.
Eti ni kweli mkuu asali imejaa hadi inamwagika NOAT?[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Kitambo cjakuona ukichangia boss lady!Mishahara ya serikalini huwa midogo sana
Leta connection
Degree na nyota moja