Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Do your research vinginevyo Endelea kuiabudu TRA tu mkuu-kwani TRA hizo Posho hazipo? Au tuseme hizo Posho ziko kwenye taasisi nyingine lakini sio TRA?
- Jiulize kwa nini interview ya TRA huwa inakuwa na watu wengi pengine kuliko taasisi nyingine yoyote ya serikali?
-nijionee Hali halisi kwamba Watumishi wa TRA Wana maisha magumu au?
- hebu taja hizo taasisi zenye Posho kufuru? Ziorodheshe watu wazijue