Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,013
- 3,406
Haaa haaaa hatari sana.Mkuu,mimi nimeamua tu kukaa kimya kuepuka kubishana na hawa vijana.eti 3m kwa luten,na wakati huo ndio mshahara wa major plus marupurupu yake yote.
Sidhani kama huwa unalipwa salary yoyote weweHiyo ni salary bado marupurupu
Luteni anakunja 2.3m
Yani sijui kwanini wabongo wengi hatupendi kusikia wanajeshi wanalipwa vizuri kulinganisha na taasisi nyingi za serikali, ni taasisi chache sana zinazoizidi TPDF, ni taasisi chache sana zinazolipa form four failures 1m
Hakuna kapten anayelipwa mshahara huo.huo ni mshahara wa majorHahahahah eti kapteni hajafikisha 3m acha kuchekesha ww
Mi pia nimewahi fanya kazi platinum haya majeshi ela za za kawaida tofauti yanavyokuzwa magereza ndo choka kabisaWewe huenda unasimuliwa,mimi nimefanya ngome saccoss miaka kadhaa kabla ya kuondoka,na hao wajeda ndio walikua wateja wangu wakubwa so salary slip zao nilikua naziona.tatizo mtaani watu mnadanganyana sana.wajeda mishahara yao ni ya kawaida ingawa nakubali miongoni mwa vyombo vya ulinzi na usalama, wanajeshi wanalipwa vizuri kulinganisha na wenzao.
Penye kuhoji ndipo tunajua yaliyojifichaHuu uzi umeanza kuharibiwa na wabishani wamishahara ya wanajeshi,
Acha ubishi mkuu nipo kwenye hio taasisi unajua
- ni milioni 15Hahahahah eti kapteni hajafikisha 3m acha kuchekesha ww
Haya basi tufanye hiviAcha ubishi mkuu nipo kwenye hio taasisi unajua
Mahela yote hayo ya nini wakati hiyo kazi ni wito na ya kizalendo? Wanaofanya shughuli za uzalishaji ndo inatakiwe walipwe hivyoHaya basi tufanye hivi
- private, 4m
- Koplo, 5m
- sajenti 6m
- staff sajenti 7m
- warrant officer 8m
- Luteni 11m
Haya basi tufanye hivi
- private, 4m
- Koplo, 5m
- sajenti 6m
- staff sajenti 7m
- warrant officer 8m
- Luteni 11m
Wale wanakula 2m🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23] naona hapo imekaa sawa. Bila kusahau service men and women wanaolijenga kwenye makambi ya malezi wanakula 800k na kuruta 600k per month
Aisee huyu jamaa mpumbavu sana anapoteza Watu maboya...kumbe hata kazi hana anatafuta kazi za magereza halafu analeta data za vijiweni.Je, naweza kupata ajira magereza kwa cheti cha kidato cha nne?
Je, naweza kupata ajira magereza kwa cheti cha kidato cha nne?
Habari za muda huu wakuu nina Degree, Je, naweza kuomba ajira za magereza kwa kigezo cha form four na kutakua na uwezekano wa kupanda cheo hapo baadae kutokana na elimu niloyonayo? Vigezo vyote ninavyo kama JKT. Nawasilishawww.jamiiforums.com
Upo TPDF tangu lini? Unaijua kweli mishahara ya TPDF au ndio wale changamsha genge?
Mirioni 500, mirioni 700, mirioni 800Kanali ,brigedia na major general wanakunja ngapi?
Mpumbavu mwenyewe nimekwambia nipo jwtz?? Kusema nipo kwenye hiyo taasisi ndo basi mi ni mwanajeshi hujui tpdf wanakopa wap?? Acha kunitusi nyambafu wwAisee huyu jamaa mpumbavu sana anapoteza Watu maboya...kumbe hata kazi hana anatafuta kazi za magereza halafu analeta data za vijiweni.
Nimekwambia nipo tpdf mkuu alaf huo Uzi uliouibua wa magereza kipindi hicho mtaa wa moto popote kambi lakini saivi sipo uko tena mkuu kuibua huo Uzi ndo usifikiri umenikamata huko nilishatoka kitambo sanaJe, naweza kupata ajira magereza kwa cheti cha kidato cha nne?
Je, naweza kupata ajira magereza kwa cheti cha kidato cha nne?
Habari za muda huu wakuu nina Degree, Je, naweza kuomba ajira za magereza kwa kigezo cha form four na kutakua na uwezekano wa kupanda cheo hapo baadae kutokana na elimu niloyonayo? Vigezo vyote ninavyo kama JKT. Nawasilishawww.jamiiforums.com
Upo TPDF tangu lini? Unaijua kweli mishahara ya TPDF au ndio wale changamsha genge?
Unawalipa ww auHaya basi tufanye hivi
- private, 4m
- Koplo, 5m
- sajenti 6m
- staff sajenti 7m
- warrant officer 8m
- Luteni 11m
Umeingia lini TPDF na umetrain lini cadet wewe kijana😃😃. Lakini mimi nakubaliana na wewe mnalipwa mishahara mikubwa sana huko mkuu😃😃Nimekwambia nipo tpdf mkuu alaf huo Uzi uliouibua wa magereza kipindi hicho mtaa wa moto popote kambi lakini saivi sipo uko tena mkuu kuibua huo Uzi ndo usifikiri umenikamata huko nilishatoka kitambo sana
Mkuu sijui hatuelewani mi sipo tpdf mbona ila kuna sehem nipo inayonifanya kujua salary zao njoo inbox.Umeingia lini TPDF na umetrain lini cadet wewe kijana😃😃. Lakini mimi nakubaliana na wewe mnalipwa mishahara mikubwa sana huko mkuu😃😃
I rest my case.