HYo mileage allowance ni mshahara wa mwezi wa mtu tena ni gross salarySenior HR wa TPA apart from salary, anakunja 850k kama mileage allowance, 45% of his/her salary kama housing allowance, 200k meal allowance kila mwezi. Mshahara kwa mwaka ni 26M. na vichench kadhaa, you can calculate it monthly. Watu wanabwia asali.
Acha tu, na akipata duty travel per diem ni 215k kwa siku na wanasafiri sio unavyodhaniHYo mileage allowance ni mshahara wa mwezi wa mtu tena ni gross salary
Aise na ni tanzania hii hii ..per diem ni ya mtu siku moja ni salary ya mwezi kwa mtu mwenye familiaAcha tu, na akipata duty travel per diem ni 215k kwa siku na wanasafiri sio unavyodhani
Watu wanafaidi keki ya taifa. Pia wanakopeshwa magari bila ribaAise na ni tanzania hii hii ..per diem ni ya mtu siku moja ni salary ya mwezi kwa mtu mwenye familia
Hao mikopo yao sio chini ya million 70Watu wanafaidi keki ya taifa. Pia wanakopeshwa magari bila riba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hawafahamu hao wambie mbona kuna ma Sagenti wanapewa 2M wamekalili luteni hawezi pewa 3M hawezi alafu kingine malipo ya nshahara yanategemea na muda wa kukaa kazini expirience,elimu na kozi za muhusika sasa uyo luteni wa 3M ni luten amebase katika nn na nn???Luten wa jeshi anachukua 1.8m.ukitaka salary slip nitafute nikuonyeshe kwa muda wako.acha kuniambia naropoka bila kuwa na ushahidi..huyo kapten mwenyewe tu hiyo 3m hajafikisha ndio sembuse luten.
Muongo ww....Acha ubishi mkuu nipo kwenye hio taasisi unajua
Ni zaidi ya 26 per yearSenior HR wa TPA apart from salary, anakunja 850k kama mileage allowance, 45% of his/her salary kama housing allowance, 200k meal allowance kila mwezi. Mshahara kwa mwaka ni 26M. na vichench kadhaa, you can calculate it monthly. Watu wanabwia asali.
Na bado walikua na mpango wa kupeleka ombi la kuongezewa mishahara kwa katibu mkuu.Ni zaidi ya 26 per year
Halafu huko wanakoenda kuna posho ya entarteiment ambayo ni 400k hadi 500k kulingana na cheo chakeAcha tu, na akipata duty travel per diem ni 215k kwa siku na wanasafiri sio unavyodhani
Extremely asali[emoji518].Halafu huko wanakoenda kuna posho ya entarteiment ambayo ni 400k hadi 500k kulingana na cheo chake
Chief umesahau shirika, wakala na mifuko[emoji848][emoji848]Asali zipo kwenye
●Mamlaka yoyote
●Bodi yote
●Tume
N:b Asali ni asali
Kama Senior HR analipwa 26m bas, Engineer atalipwa 34m, mileage allowance yake itakuwa more than 1.2m,1.3m kama housing allowance, inshort inshort Senior engineer atakuwa mbali sanaSenior HR wa TPA apart from salary, anakunja 850k kama mileage allowance, 45% of his/her salary kama housing allowance, 200k meal allowance kila mwezi. Mshahara kwa mwaka ni 26M. na vichench kadhaa, you can calculate it monthly. Watu wanabwia asali.
Mileage allowance ni sawa kwa seniors wote wa kila kurugenzi ambayo ni 850k.Kama Senior HR analipwa 26m bas, Engineer atalipwa 34m, mileage allowance yake itakuwa more than 1.2m.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona hapo imekaa sawa. Bila kusahau service men and women wanaolijenga kwenye makambi ya malezi wanakula 800k na kuruta 600k per month