[emoji38][emoji23][emoji23]Haya basi tufanye hivi
- private, 4m
- Koplo, 5m
- sajenti 6m
- staff sajenti 7m
- warrant officer 8m
- Luteni 11m
Oya mzee,,PTE mwenye bachelor ya Accounting anakula ngapi huko?1.TPDF
2.JWTZ
3.JW
4.
5.
6.
9.9mOya mzee,,PTE mwenye bachelor ya Accounting anakula ngapi huko?
Dah mwamba umeamua kuwapopoa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]9.9m
Kama 1.1M hivi, ila achana na Majeshi mkuu huko njaa tu, kwa degree yako ukiingia TRA unakunja 110M kwa mwezi ukitoa allowances zoteOya mzee,,PTE mwenye bachelor ya Accounting anakula ngapi huko?
110m mkuu??Kama 1.1M hivi, ila achana na Majeshi mkuu huko njaa tu, kwa degree yako ukiingia TRA unakunja 110M kwa mwezi ukitoa allowances zote
Hapo ni bila posho110m mkuu??
Eeeeh oya 110/mia na kumi/milioni kumi na moja makaratasi unajuaHapo ni bila posho
Wengi humu nimegundua ni majobless wanawapangia waajiriwa mishahara
Hawataki kuweka amount publicHivi kwenye upande wa Salary wanaposema ATTRACTIVE REMUNERATION PACKAGE Huwa wanamaanisha wanalipaje? Hasa kwenye hizi Taasisi za serikali
[emoji1787]Aisee huyu jamaa mpumbavu sana anapoteza Watu maboya...kumbe hata kazi hana anatafuta kazi za magereza halafu analeta data za vijiweni.
Huwa wanajiandikia tu.Hivi kwenye upande wa Salary wanaposema ATTRACTIVE REMUNERATION PACKAGE Huwa wanamaanisha wanalipaje? Hasa kwenye hizi Taasisi za serikali
Kuna zenye mishahara midogo ila posho na marurupu kubwa sana bado illegal sources za wizi na rushwa kubwa sana.Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Wizara ya fedha je muhasibu analipwa ngpKuna zenye mishahara midogo ila posho na marurupu kubwa sana bado illegal sources za wizi na rushwa kubwa sana.
Mhasibu mwenye CPA anaanza na 1,000,000 gross (TGS E)Wizara ya fedha je muhasibu analipwa ngp
Dah, muhasibu...? Hata Driver yupo juu...!Mhasibu mwenye CPA anaanza na 1,000,000 gross (TGS E)