kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Hakuna mshahara huo kwa new entry tra..huwa wanaanza na 2.34mHiyo labda ya zamani as of now 2024 ni 3.1M
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mshahara huo kwa new entry tra..huwa wanaanza na 2.34mHiyo labda ya zamani as of now 2024 ni 3.1M
Sasa 2017 mpaka leo ni miaka saba unafikiri umebaki huo huo anyway mimi nimeona slip ndo maana nakwambia ni 3.1M so kama unataka kuendelea kubisha basi sitabishanq na wewe tenaHuo mshahara haupo, mshahara wa mwisho kuuona ilikuwa ni 2017 na ilikuwa ni 2.34m
Huu Ni uongo.Sasa 2017 mpaka leo ni miaka saba unafikiri umebaki huo huo anyway mimi nimeona slip ndo maana nakwambia ni 3.1M so kama unataka kuendelea kubisha basi sitabishanq na wewe tena
Sawa msema kweliHuu Ni uongo.
Nasema tena wewe Ni kaongo.Sawa msema kweli
Tatizo humu watu ni wabishi na hata slip hamjawahi kuona muwe mnaacha ubishi aisee
Sawa sawa ila ni 3,100,000/=basic salaryNasema tena wewe Ni kaongo.
Sawa sawa ila ni 3,100,000/=basic salary
Wao ndo waweke maana wamesema mimi muongoWeka ushahidi kaka. Watu watatu wametoa number inayofanana, wewe peke yako ndio odd man out.
Sifanyi kazi huko ila nimeona Slip ya mtu wa TraWeka ushahidi kaka. Watu watatu wametoa number inayofanana, wewe peke yako ndio odd man out.
Punguza umbea, umeajiriwa juzi benki unakuja kusema mishahara ya watu.Sifanyi kazi huko ila nimeona Slip ya mtu wa Tra
Huyu mtu labda atakua amepanda daraja.Sifanyi kazi huko ila nimeona Slip ya mtu wa Tra
Mbona sioni madaktari [emoji1] au kada za afya hawali cake ya taifa
Sijawahi fanya kazi bank na sitowahi fanya hukoPunguza umbea, umeajiriwa juzi benki unakuja kusema mishahara ya watu.
Mtu anapanda daraja kabla ya probation haijaisha ??Huyu mtu labda atakua amepanda daraja.
Ila entry ya TRA ni 2.34M
Huu msaada naipataje mkuuI wish mgejua kuwa Hela imelala kwa biashara ,Nina mkaka nliimpa line mwaka uliopita alikuwa anaslave kwa halmashauri na vichenchi visivyo na maana Leo hii ana range 2022 edition
Kuna mdada pia najuana naye ,siyo mwajiriwa Ila ukitaka services zozote serikalini atakufanyia mind you hajasoma chuo kikuu ,mwana biashara tu .
Hela wanazokunja hawa sio mchezo .
Afu mnataka madaktari perfect 🤣Training sio Kila siku utachaguliwa ww ndio uende Hali kadhalika safari na workshop
Kuna taasisi hazisikiki sana na wala hazitajwi na watu yaani ni "LOW KEY" Lakini ziko mawinguniUnaijua Bodi ya michezo ya kubahatisha?
1. HalmashauriHakuna Uzi wa Taasisi zenye mishahara midogo?
wewe ni muongo iyo unayotaja wewe sio .wenzako ndio wapo sahihi ni 2.34Mtu anapanda daraja kabla ya probation haijaisha ??