Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Kama ni Mimi naangalia terms za Mkataba wa hapo DPW.. shida ni kwamba hakuna guarantee ya wao kumaliza 30yrs... SIASA za TZ ni shida sana anaweza kuja KIONGOZI MWINGINE akawatimua DPW. au DPW wasifike zile target wakaondolewa kisheria.. sasa hao wafanyakaz watakuwa hawana pa kwenda.. muda huo Bandar inarud kwa TPA.
Kuhusu kuondolewa ni kweli sera za nchi zinategemea na Rais husika anayeongoza
 
Kama ni Mimi naangalia terms za Mkataba wa hapo DPW.. shida ni kwamba hakuna guarantee ya wao kumaliza 30yrs... SIASA za TZ ni shida sana anaweza kuja KIONGOZI MWINGINE akawatimua DPW. au DPW wasifike zile target wakaondolewa kisheria.. sasa hao wafanyakaz watakuwa hawana pa kwenda.. muda huo Bandar inarud kwa TPA.
Sasa terms utazijuaje bila kutoa notice TPA ndipo uruhusiwe kwenda DP.

Unaweza kukuta Terms ziko hovyo halafu tayari ushaaga TPA, kimbembe cha kurudi TPA kikawa kigumu maana tayari wanakuwa washakurelease.
 
Sasa terms utazijuaje bila kutoa notice TPA ndipo uruhusiwe kwenda DP.

Unaweza kukuta Terms ziko hovyo halafu tayari ushaaga TPA, kimbembe cha kurudi TPA kikawa kigumu maana tayari wanakuwa washakurelease.
Nahisi kwenye hizo semina zao wameelekezwa kila kitu kuhusu terms.. je ni permanent and pensionable au ni renewable contract ya mwaka kwa mwaka?

Structure ya salary ikoje na vyeo vya kimuundo UHAKIKA wa AJIRA ndio sawa... sina waswas je UHAKIKA wa cheo changu?

Unaweza ukatoka TPA kama Meneja ukaend kule ukaw officer wa chini JUNIOR..
 
Nahisi kwenye hizo semina zao wameelekezwa kila kitu kuhusu terms.. je ni permanent and pensionable au ni renewable contract ya mwaka kwa mwaka?

Structure ya salary ikoje na vyeo vya kimuundo UHAKIKA wa AJIRA ndio sawa... sina waswas je UHAKIKA wa cheo changu?

Unaweza ukatoka TPA kama Meneja ukaend kule ukaw officer wa chini JUNIOR..

Permanent and pensionable private sector?? Hakunaga hiyo.


Ningekua mimi honestly ningebaki TPA. As long as mshahara wangu nahama nao popote, ningekubali kwenda port yoyote.
 
Permanent and pensionable private sector?? Hakunaga hiyo.


Ningekua mimi honestly ningebaki TPA. As long as mshahara wangu nahama nao popote, ningekubali kwenda port yoyote.

Private sectors zilizo stable wana permanent and pensionable contracts, mfano CRDB, NBC etc zipo nyingi tu sio serikalini tu mkuu...fuatilia.
 
Permanent and pensionable private sector?? Hakunaga hiyo.


Ningekua mimi honestly ningebaki TPA. As long as mshahara wangu nahama nao popote, ningekubali kwenda port yoyote.
Kingine ni POSHO.. Mshahara sio shida..

Kuacha POSHO zinazozidi Mshahara ni kichomi..

Ila huwenda DPW wakawa vzr kuliko TPA..
 
Back
Top Bottom